recently we have a good number of closed minded people in our countryHuku mtaani hamna mwenye wazo na polepole ni wanasiasa tu ndo wanajadili wabongo hawana habari NAE Hilo no kosa ambalo linaitafuna zt mpaka kesho
Fullstop, kwishaaa
Mmeguswa kwenye G-spot, mnakojoa tu sasa..!!Arusha miaka kadhaa nyuma ilikua ngome ya chadema Leo hii ni ccm damudamu
Fullstop, kwishaaaa
View attachment 3450416
Bro usiseme closed minded people ilihali maendeleo yanaonekana kwa macho na sio stori God bless lema aliifanya kazi nzuri ila makonda hicho kichwa ni balaa nimekikubali aisee, mikoa mingine wakuu wa mikoa wamezubaa sana mwanza tu hapo mtanda ni porojo sana miradi holaa, na kama ipo ni ya awamu ILE, chuga wako wanajenga uwanja wa mpira mwingine tofauti na ule wa Samia, ushaiona airport yao ilivo sasahivi, Barbara zinazo jengwa? ni makonda effect hiyooOf recent we have a good number of closed minded people in our country
A town sio mji bakiwatu,ni mji wa pesa watu wako busy kusaka ngawila,sio mji wa kuendekeza porojo.nimechunguza sura zote kwa makini sijaonapo ambae sio mlevi wa matapu tapu hao wamepewa buku mbili mbili
Tunaishi kwenye jamii ya kanyanga twende jamii ambayo wengi wao hawawezi kuchakata fikra chanya na hasi jamii unayo weza kuisafisha ubongo ikafikiri unavyotaka weweBro usiseme closed minded people ilihali maendeleo yanaonekana kwa macho na sio stori God bless lema aliifanya kazi nzuri ila makonda hicho kichwa ni balaa nimekikubali aisee, mikoa mingine wakuu wa mikoa wamezubaa sana mwanza tu hapo mtanda ni porojo sana miradi holaa, na kama ipo ni ya awamu ILE, chuga wako wanajenga uwanja wa mpira mwingine tofauti na ule wa Samia, ushaiona airport yao ilivo sasahivi, Barbara zinazo jengwa? ni makonda effect hiyoo
Fullstop, kwishaaa
Watu zaidi wa imani gani?Nowdays Arusha mashoga ni wengi.
Siyo baisikeli tu wamepewa hata mikopoSasa huyo mzee ambaye maisha yake yote kashindwa hata kununua baiskeli ya Tsh 150K na sasa kapewa ambayo kwenye mgawanyo wa deni la mama yake ni 1.4M na yeye anadhani kuwa hiyo baiskeli kapewa bure unataka akatae kubeba hilo bango aliloandikiwa?
Atashinda kwa kishindoArusha miaka kadhaa nyuma ilikua ngome ya chadema Leo hii ni ccm damudamu
Fullstop, kwishaaaa
View attachment 3450416
Naomba likebo wanileetee Niiishi nalo nyumbani kwangu .Arusha miaka kadhaa nyuma ilikua ngome ya chadema Leo hii ni ccm damudamu
Fullstop, kwishaaaa
View attachment 3450416
Mkuu sasa hapo kijana kakosea nini, ni haki yake kikatiba ajatusi mtu ni ujumbe tuNaomba likebo wanileetee Niiishi nalo nyumbani kwangu .
SSH indelea kuwa Rais katika uchaguzi huru na haki mie sina shida nalo , na hakuna mwananchi atakataa hii maana katika ushindani kuna kushindwa na kushinda , so watulie kama nchi tunakazi ya kufanya kwamba tunatokaje hapa.
Uyo amebeba kiboksi sio mda Mungu atasema naye ,Taifa liko katika hali ngumu kuliko wakati wowote ule ,alafu wanaleta ujinga .
Hii nchi siyo ya ccm ni ya watz wote na lazima tueshimiane
Huwezi shabikia dhuluma na kubaki salama mbele za Mungu ,mkuu ,naongea hili kwa ujasili mkubwa ,Mungu atasema naye asema Bwana na imekuaMkuu sasa hapo kijana kakosea nini, ni haki yake kikatiba ajatusi mtu ni ujumbe tu
Fullstop, kwishaaa