4 7mbatizaji
JF-Expert Member
- Dec 8, 2019
- 11,319
- 12,999
Mimi ninayo mkuu ,ila unaubavu wa kujibu hoja zake la likebo?Samahani wakuu mwenye NAMBA za polepole mtumieni hii ili ajibu mapigo.
Fullstop, kwishaaa
Mimi ninayo mkuu ,ila unaubavu wa kujibu hoja zake la likebo?Samahani wakuu mwenye NAMBA za polepole mtumieni hii ili ajibu mapigo.
Fullstop, kwishaaa
Sawasawa, lakini upepo haupimwi mitandaoni, haya ni maisha halisi ujue. Endeleeni kujifariji tu, lakini siku yajaBro unge kua unamanisha usinge ficha I'd alafu huku ni kwa waoga majasiri wako face book na ig mkuu siwezi kukupa taji la ushujaa upo jf siwezi kaka siwezi huku ni kwa waogaaa
Fullstop, kwishaaa
Lissu yuko jela nilitegemea machafuko ili kushinikiza atolewe ndo kwanza watu wako wanalewa tu mtaaniSawasawa, lakini upepo haupimwi mitandaoni, haya ni maisha halisi ujue. Endeleeni kujifariji tu, lakini siku yaja
🤣🤣🤣🤣Nowdays Arusha mashoga ni wengi.
Mkuu unakimbia motoSio Mimi mkuu hao waandamanaji ndo watazijibu mi mjumbe tu
Fullstop, kwishaa
Mkuu rejea msg yangu kwako ya kwanza ,naona unataka tupia mpira pembeni, Poleple ana balaa sio la Dunia hiiMoto upi mkuu
Fullstop, kwishaaa
Si punde mtaonekana wajinga mkuu, hoja Gani sasa mpaka sa hii imeitetemesha ccm zaidi ni kukandamiza upinzani. Mpina kaanza na moto polepole akadai ni ccm b hapo kaumia nani ccm au upinzani wenyeweMkuu rejea msg yangu kwako ya kwanza ,naona unataka tupia mpira pembeni, Poleple ana balaa sio la Dunia hii
Samahani pale nimekukwaza, naomba niletee likebo lile kutoka ccm kwenda Nida ,Nec niishi nalo nyumbani kwangu mkuu kama hutojaliSi punde mtaonekana wajinga mkuu, hoja Gani sasa mpaka sa hii imeitetemesha ccm zaidi ni kukandamiza upinzani. Mpina kaanza na moto polepole akadai ni ccm b hapo kaumia nani ccm au upinzani wenyewe
Fullstop. Kwishaaaa
Dahh samahani mkuu kama takukwaza nisamehe mkuu eti likebo na wee mtoto wa kiume uwe unalifanyia nini?Samahani pale nimekukwaza, naomba niletee likebo lile kutoka ccm kwenda Nida ,Nec niishi nalo nyumbani kwangu mkuu kama hutojali
Na wasiompenda wanaruhusiwa kuandaa Jongingi hapo ndo democrasia Afrika inapokua ngumu au wanao Muunga mkono polepole Wanaruhusiwa kua na Joging ya mabango tue fair huwezi kupima mtu kwa propaganda hiziNmeshangazwa na umati mkubwa kiasi hicho sio Arusha ya miaka hiyo nayo ijua
Fullstop, kwishaaa
Umeona!Siyo baisikeli wamepewa hata mikopo
Walivyokuwa wajinga hawa watu, usikute wamehongwa shuka za kimasai tu kumsapoti Mama yao anayeuza nchi kwa wajomba zake.Arusha miaka kadhaa nyuma ilikua ngome ya chadema Leo hii ni ccm damudamu
Fullstop, kwishaaaa
View attachment 3450416