Karibu sana....hiyo bikira yako imenipa utata kidogo...ni ipi hasa
I mean mi sijaanza kuchakachua watoto wa watu
Karibu tubadilishane mawazo
karibu,una miaka mingapi hujachakachua vibinti?lol
Miaka yangu haina umhimu wowote, lakini fahamu tu kwamba mimi ni bikira wa kiume ova.
ingia hapa kwanza JamiiForums Disclaimer and Rules
karibu sana ila hiyo nick mkuu ina ni :confused3:
Jina lako tishio.Kwa mara ya kwanza nimeamua kulog in kwenye forum hii baada ya kusikia utamu uliomo humu ndani. Naamini nitapokelewa kwa mikono miwili na wenyeji wangu humu ndani.