Webabu
JF-Expert Member
- Apr 29, 2010
- 7,194
- 10,929
Kwa miaka mingi Marekani imekuwa ikiiwekea ajenda za kuikwamisha Venezuela hasa katika sekta ya mafuta.
Vikwazo hivyo viliitikisa sana Venezuela na kuirudisha nyuma kiasi kwamba watu walipanga foleni kwa siku kadhaa kupata lita moja ya petroli, taifa shujaa la Iran lilisimama na wavenezuela na kuwafikishia mafuta kwa njia zote kaitkati ya vikwazo hivyo vya Uchumi.
Ghafka bin vuu Marekani imelitaka shirika la mafuta la Chevron kwend Venezuela kuchima na kusafisha mafuta ya nchini humo.Nicholas Maduro aliyerithi kwa mwamba mwenzake Hugo Chavez wameibuka kidedea.
Vikwazo hivyo viliitikisa sana Venezuela na kuirudisha nyuma kiasi kwamba watu walipanga foleni kwa siku kadhaa kupata lita moja ya petroli, taifa shujaa la Iran lilisimama na wavenezuela na kuwafikishia mafuta kwa njia zote kaitkati ya vikwazo hivyo vya Uchumi.
Ghafka bin vuu Marekani imelitaka shirika la mafuta la Chevron kwend Venezuela kuchima na kusafisha mafuta ya nchini humo.Nicholas Maduro aliyerithi kwa mwamba mwenzake Hugo Chavez wameibuka kidedea.