Hatimae "M" wengine waanza kujitokeza

Hatimae "M" wengine waanza kujitokeza

acha u.p.u.m.bavu, alikwambia hawa wasaliti walitofautiana na mbowe nani? hii misaliti ya chama si wa mbowe. we must get ridoff.

punguza hasira kijana huo ni ukweli yeyote yule mwenye mawazo tafuti na mbowe na slaa hasa kuhoji ruzuku ya chama na kutaka uongozi wa juu kubadilika utaitwa msaliti tu
 
M1 M2 na M3 NI NANI
ANAEJUA AWADADAVUE WOTE
najua kuna mkumbo, zito, na huyu wa arusha aliesimamishwa
ila uhalisia wao katika MM siujui
 
acha u.p.u.m.bavu, alikwambia hawa wasaliti walitofautiana na mbowe nani? hii misaliti ya chama si wa mbowe. we must get ridoff.
Pigana na ukuta basi km una hasira, wewe ni mbeba mkoba wa mbowe, utaifanya kazi hiyo mpaka uzeeke. Mkisikia uchaguzi m.a.v....i yanawagonga vyupi 24 hrs
 
Kikwet yye anakusilene kimya kimya ukitaka kgombea naye uraisi unafutwa kugmbeakupitiakura za maoni
Kuzuia kifo na mazishi ya machadema ni sawa na kuzuia mafuriko kwa mikono
 
Mimi natoa changamoto kwa wanaojifafanya kuitetea demokrasia katika vyama vya wenzao kama Mwigulu kumgeukia mwenyekiti wake na kumuuliza swali dogo," Mheshimiwa mwenyekiti, hivi ulishindana na nani vile katika uchaguzi wa uenyekiti wako?" akishajibiwa ninaamini atarudi hapa jamvini kutuletea majibu. Mh. Mwigulu hadhira inakusubiri

Kwa mtaji huu sa naanza kugudua taratibu kuwa CDM ni kopi & pesti ya CCM.... namanisha hakuna tofauti ya hivi vyama linapokuja swala la Demokrasia ya huru na kweri ndani ya chama. Pia ni dalili tosha cku CDM ikichukua dola itagandamiza vyama vya upinzani kwa gharama yoyote kutetea maslahi yake kama wanavyofanya CCM na si maslahi ya umma. Yangu macho na masikio............
 
Fukuza fukuza fukkuza tu! Na waende, muasi yoyote aende tu ili chama kiende sawa hata kama ktk chama tutabaki wawili waadirifu tulitee taifa mpaka mwisho.

Body without head

Wewe ni maskini wa fikra.
 
Kama sijakosea swali liliulizwa hivi, kwahiyo CHADEMA kinafata mfumo wa ma ccm. Hilo jibu nahisi hali husiani na swali hilo.
Ni dhambi kubwa kwa chama makini kufuata mfumo wa chama CCM kilichojaa kila baya lililolaaniwa hata na vitabu vitukufu vya dini kama wizi, ujangili, ulanguzi wa madawa ya kulevya, uzinzi na ubakaji, ugaidi, mauaji n.k. Ratiba ya uchaguzi wa Chadema inaonyesha uchaguzi unafanyika kila baada ya miaka 5, mwisho ulifanyika 2009, so ni mwakani uchaguzi unafanyika na nafasi zote zitagombewa kwa ushindani, je ni kwa nini nafasi ya uenyekiti CCM haigombewi na inatawaliwa na udikteta?
 
Kwa mtaji huu sa naanza kugudua taratibu kuwa CDM ni kopi & pesti ya CCM.... namanisha hakuna tofauti ya hivi vyama linapokuja swala la Demokrasia ya huru na kweri ndani ya chama. Pia ni dalili tosha cku CDM ikichukua dola itagandamiza vyama vya upinzani kwa gharama yoyote kutetea maslahi yake kama wanavyofanya CCM na si maslahi ya umma. Yangu macho na masikio............

Ccm haiwezi kuwa sawa na wauwaji, wamwagia watu tindikali, walisha sumu na walipua mabomu.mijitu inayobinya demokrasia, inayoogopa uchaguzi. Chadema inaongozwa kwa misingi ya ulaghai uhuni na ubabaishaji
 
M1 M2 na M3 NI NANI
ANAEJUA AWADADAVUE WOTE
najua kuna mkumbo, zito, na huyu wa arusha aliesimamishwa
ila uhalisia wao katika MM siujui

Especially huyo M2 maana tumesikia MM1 cjui M3 mpaka wengine walikua Congo wanajihita M23 sa cjui wameamia huku..kwa kweli anaezijua hizi code names vizuri atufungulie wahusika hao ni akina nani kwa faida ya wengi.
CC Ben sanane
 
Last edited by a moderator:
Sasa nyie CDM si mjibu hoja, hii mambo ya mbona CCM wenyewe wako hivi au vile ndio nini sasa??
 
Kweli "kikulacho ki nguoni mwako"

Baada ya MM, MI, M2 na M3 kujulikana hatimaye "M" wengine waanza kujitokeza na kutoa matamko yanayo pingana na maamuzi ya chama na yaliyo ya wengi ambapo kwa mtu mwenye akili unaweza kujiuliza, je hawa wote walikuwa kundi moja nini? je huu sasa ni wakati wao wakutoa na kuonyesha makucha yao? Ama pengine huu ni muda mwafaka wa chama kuwafahamu wale wote wasio na mapenzi ya dhati kwa chama na wanaotumika kukivuruga chama?

Kwa kweli nabaki najiuliza maswali bila majibu, lakini nasema sitovunjika moyo, sitarudi nyuma na nitasonga mbele daima na kuamini katika mabadiliko ya kweli kwa mustakabali wa Taifa hili na vizazi vyake vijavyo.

Nasikia ni hadi M23 maana wamefukuzwa Kongo DRC wameingia TZ
 
Haya majina ya M tumeshayachoka sasa humu ndani. M inakuwa kama kwenye picha ya James Bond na majasusi wa MI5 na 6.
 
Hao MM wote wanaofadhiliwa na magamba, wanatakiwa kujiuliza swali moja,"Mbona magamba wanaowatuma hawafanyi jitihada zozote za kuleta mabadiliko na demokrasia ya kweli katika nafasi ya umwenyekiti wao wa CCM ambayo imafanywa usultani na haishindaniwi?" yaani CCM wanaweza kuelimisha ulimwengu wa demokrasia kwa nini umwenyekiti wao unakuwa wa kidikteta? kwa nini tangia uhuru mwaka 1961 wamekuwepo wenyeviti wanne? CCM watoke sasa na kutueleza kwa nini nafasi ya uenyekiti inakuwa ni ya kidikteta?

Ndugu yangu,Mgemakweli;siyo nafasi ya mwenyekiti wa ccm tu,hata nafasi ya makamu mwenyekiti wa ccm bara na visiwani haishindanishwi.Yaani demokrasia ccm ni ziro kabisa.Kinachonishangaza mimi hizi nguvu za kuikosoa chadema katika suala la Zitto na Mbowe wanapata wapi wakati kwao ni udikiteta tu katika nafasi hizi za juu.Walivyosema waswahili ni kweli "Nyani haoni kundule bali huona la mwenzie"
 
chadema kuna Ms wengi sana. yaani ukimfukuza Zitto basi ujiandae kujichimbia kaburi lako
 
Wewe ni maskini wa fikra.

Asante lakini hii ni safisha chama waasi wote tunafukuza, na wanaopinga operations hii warudishe card tu, na tukimgundua muasi tunafukuza tu mpaka tubaki wenyewe.hatutaki mzaha wala ushauri.

Body without head
 
Hao MM wote wanaofadhiliwa na magamba, wanatakiwa kujiuliza swali moja,"Mbona magamba wanaowatuma hawafanyi jitihada zozote za kuleta mabadiliko na demokrasia ya kweli katika nafasi ya umwenyekiti wao wa CCM ambayo imafanywa usultani na haishindaniwi?" yaani CCM wanaweza kuelimisha ulimwengu wa demokrasia kwa nini umwenyekiti wao unakuwa wa kidikteta? kwa nini tangia uhuru mwaka 1961 wamekuwepo wenyeviti wanne? CCM watoke sasa na kutueleza kwa nini nafasi ya uenyekiti inakuwa ni ya kidikteta?
Ngoja nisubiri!... Kumbe mwenyekiti wa CCM anawekwa kibabe!!!...Kweli hiki ni CHAMA CHA MASHEITWAN!
 
Back
Top Bottom