Figganigga, Figganigga...
Mia imekua alfu leo!
Nilichokiona kwake ni kwamba yeye anatamani kuwa mwanamke/anawaonea wivu walio umbwa kike.choo anaingia choo cha kike, anakua kwenye siku zake kama mwanamke tofauti ni damu tu, hata kucheza mziki anacheza kama mwanamke/anakata mauno, hapendi ugali,yeye anapenda chips mayai kuku na soseji, hupenda kutoa sauti nyororo, hapendi umuite jina lake la kiume huwa wanajibadilisha majina.cha ajabu ni mfanya kazi serikali kikosi cha kanda maalum ya dar na anatoka zanzibar.nimechoka mwenzenu na huyu mbaba. mia
Figganigga, Figganigga...
Mia imekua alfu leo!
duh! Ulimhoji tu! Hiyo ya siku zao ndo imenikanganya!
imekuwa sio mia ni buku mkuu tena buku ndogo ni msimbazi
we jamaa huishi vituko..! mia
Hakuna dhambi mbaya kama hiyo,kwa ghadhabu za mwenyenzi Mungu alishusha moto wa kibiriti kwa Sodoma na Gomara,leo mnataka mpewe adhabu gani?
Hawa binadamu hawafai kabisa katika jamii yetu.walipaswa wauwawe kwa kupigwa mawe.
TANMO, habari yako mkuu? hujambo? nakutakia usku mwema, bila shaka umelala..hahaaaa...!!. mia
mkuu kwanini?mbona kawaida:alafu akikuona wewe atakuita wifi.mia
Mkuu Mia! Figga leo ulikuwa wapi ndugu yangu, duh! Hii hatari sana kaka,ulipwaswa kumkemea kirohoroho kama unakemea pepo. Usirudie tena hiyo kitu,kwanza jamii inayokufahamu haijakuona naye? Manake ukionekana unaongozana na shoga ni mawili tu huja kichwani mwa watu
1 unaenda kumla kiboga
2 nawe ni shoga unaliwa kiboga hivyo mnaelekea kutifuliwa au mpo mawindoni.
MIA
Hapana mkuu.ila siku yoyote nikitaka kasema yupo free na hamuogopi mtu. yeye anasema kila mtu anaishi atakavyo na hapa mjini kila mtu na maisha yake.eti kaniambia "sweetie kila mtu ana ulevi wake halafu inaonekana we mtamu" haa..!!.nikastuka.mia