figganigga
JF-Expert Member
- Oct 17, 2010
- 25,492
- 54,890
Nilichokiona kwake ni kwamba yeye anatamani kuwa mwanamke/anawaonea wivu walio umbwa kike.choo anaingia choo cha kike, anakua kwenye siku zake kama mwanamke tofauti ni damu tu, hata kucheza mziki anacheza kama mwanamke/anakata mauno, hapendi ugali,yeye anapenda chips mayai kuku na soseji, hupenda kutoa sauti nyororo, hapendi umuite jina lake la kiume huwa wanajibadilisha majina.cha ajabu ni mfanya kazi serikali kikosi cha kanda maalum ya dar na anatoka zanzibar.nimechoka mwenzenu na huyu mbaba. mia