kirumonjeta
JF-Expert Member
- Feb 9, 2008
- 3,966
- 1,963
MIA tayari ushakuwa Mkameruni mpaka hapo,enhe huyo mvaa magwanda yuko office gani tena? Hii nchi ishafika mahali pabaya kabisa
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Nilichokiona kwake ni kwamba yeye anatamani kuwa mwanamke/anawaonea wivu walio umbwa kike.choo anaingia choo cha kike, anakua kwenye siku zake kama mwanamke tofauti ni damu tu, hata kucheza mziki anacheza kama mwanamke/anakata mauno, hapendi ugali,yeye anapenda chips mayai kuku na soseji, hupenda kutoa sauti nyororo, hapendi umuite jina lake la kiume huwa wanajibadilisha majina.cha ajabu ni mfanya kazi serikali kikosi cha kanda maalum ya dar na anatoka zanzibar.nimechoka mwenzenu na huyu mbaba. mia