Mkoa ganiHii n habari njema kwa wananchub kuanzia ijumaa gesi lishushwa bei
Oryx kubwa 47-48 Alf beiya kuuza
Oryx ndogo 19-20 Alf beiyakuuza
Mihan kubwa 45-46alf beiyakuuza
Mihan ndogo 19-20alf beiyakuuza
NB
BEI HIZI NI KWA HELA HALALIYA KITANZANIA...PIA ITATEGEMEA NA STOCK YA MTU..KAMA AJAMALIZA MZIGO WA ZAMANI TARAJIA KUKUTA BEI ILEILE..KWA MZIGO MPYA TU KUANZIA IJUMAA UTAUZWA HIZO BEI
RGDS
REV PDIDY
Hii n habari njema kwa wananchub kuanzia ijumaa gesi lishushwa bei
Oryx kubwa 47-48 Alf beiya kuuza
Oryx ndogo 19-20 Alf beiyakuuza
Mihan kubwa 45-46alf beiyakuuza
Mihan ndogo 19-20alf beiyakuuza
NB
BEI HIZI NI KWA HELA HALALIYA KITANZANIA...PIA ITATEGEMEA NA STOCK YA MTU..KAMA AJAMALIZA MZIGO WA ZAMANI TARAJIA KUKUTA BEI ILEILE..KWA MZIGO MPYA TU KUANZIA IJUMAA UTAUZWA HIZO BEI
RGDS
REV PDIDY
inatakiwa iwe 15000,Hizo sio bei za kushangilia. Ingeshuka hadi 20,000/= kwa kilo 15 ndo ningeona imeshuka
una kilo ngapi?mtungi mdogo mbona unauzwa 20K kitambo?
Kg 15 si ndiyo hiyo midogo ya 19-20!!!?Hizo sio bei za kushangilia. Ingeshuka hadi 20,000/= kwa kilo 15 ndo ningeona imeshuka
Kwasababu?Inatakiwa ishuke zaidi
Haijashuka mimi nina mtungi mdogo na mkubwa..mbona bei ya mdogo toka mwezi uliopita bei ni 15 elfu je kitu gani kimeshukamtungi mdogo mbona unauzwa 20K kitambo?
Yeah, sijui mleta mada anaishi wapi.mtungi mdogo mbona unauzwa 20K kitambo?