Wanawake bana,muda wote wanakula ma-P2,anafika umri wa kulea wajukuu ndio anaanza kuzaa,.......hajui kuwa huo umri ni risk ya kupata watoto wenye congenital defect,hata kama risk inaongezeka kwa 2%
Kitu kizuri kuhusu Dunia,ni kua bado wapo wanaume watakaoacha wanawake wente miaka 20,na kwenda kuoa wazee wa miaka 40,hii tunaita life balance