Lilambalyakwilole
JF-Expert Member
- Jan 1, 2014
- 1,100
- 649
Baada ya bei ya nyama na sukari kupanda,hatimae chipsi kavu Nazo zapanda bei maeneo mbali mbali ya jiji la Dar kutoka Tsh.1500 tuliyoizoea mpaka Tsh. 2000 kwa sahani 1,kweli namba tutazisoma na kuzihesabu...
tumia fursa hiyo kwenda kulima viazi au na ww azisha biashara ya chips, sio unabaki kulalamika tu,