Mpangawangu
JF-Expert Member
- Mar 5, 2014
- 887
- 965
Malizia na akina Prof Safari wa Kaskazini, Said Issa Mohamed ni wa Kaskazini, Salum Mwalimu Juma ni wa Kaskazini, Patrobas ni wa Kaskazini, Hashim ni wa Kaskazini, Hawa Mwaifunga ni wa Kaskazini, Jannet Fussi ni wa Kaskazini, Zeudi ni wa Kaskazini, Rutembeka ni wa Kaskazini.
1 Kikwete Pwani
2 Billal Pwani ya zenj
3 Shein Pwani Zenj
4 Seif Id Pwani Zenj
5 Sharif Pwani Zenj
Hivi mungu kawafanya wa pwani tu waongoze. Wakaskazini wao ni aashetani sio ? Ipo simu mtajita
Akili zao ni ndogo sana. Lakini maneno yao hayo ni mikuki ya kuwachoma wenyewe maana watu wa Kaskazini wanahamasishwa zaidi kujiunga na CHADEMA kwa maneno hayo na hivyo kukifanya CHADEMA kitanuke zaidi ma CCM kitakufa zaidi maeneo hayo na popote ambapo wachaga wapo.Mkuu Malova, hiyo ndo dawa ya mapashikuna magamba.
Hayalali bado yanausaka umbea tu.
Chadema yadhihirisha ubaguzi wa
kikanda,Sasa
1.mwenyekiti (Mbowe)-Mkaskazini
2.Katibu mkuu (Slaa)-Mkaskazini
3.Naibu katibu mkuu(Mnyika)-Mk
askazini.
4.Mwenyekiti Bawacha (Mdee) -
Mkaskazini.
5.Mweka hazina-Mkaskazini
Duuuh,Mwanzo nilijua hoja ya
ukanda kwa chadema ni
propaganda kumbe ni FACT.
Wale wa kukanusha naombeni
mtueleze sifa ya ziada walizonazo
watanzania wanaotoka kaskazini
kuliko wanachadema wa kutoka
mikoa mingine.
La sivyo mnataka tuamini kuwa
chadema wenye akili ni watu wa
kaskazini.
nenda na usirudi maana ulitaka vyeo vigawanywe kwa kanda.Kama ime tokea waliokubalika katika uchaguzi wa wanachama wa nchi nzima kwa hiari yao wametoka huko shida iko wapi we zuzu!Nilikuwa naipenda sana Chadema. Sasa sijui nijiunge na chama gani....!!!!
Mkuu Malova, hiyo ndo dawa ya mapashikuna magamba.
Hayalali bado yanausaka umbea tu.
Usihangaike na wahuni wa siasa.Mnyika kwa asili yake ni Njombe,mzazi wake alifanyia kazi MwanzaWakati mwingine jamani mkiandika vitu hata kama ni vya kishabiki basi angalau muandike kama mna akili. Sasa ili angalau ujaribu kuonesha ulinganifu wa unachotaka kuonesha. Badala ya 'kupick and choose' ungejaribu kuonesha kwa mfano Makamu Mwenyekiti wa pande zote mbili wanatoka wapi; Manaibu wanatoka wapi n.k sasa ukichagua watu wachache tu ni kuabisha kile ambacho Mwenyezi Mungu amekupa - akili.
Prof.Abdallah Jumbe safari amewekwa kama shotu mbele ya gari na kwakuwa Safari anajitambua subilini muone muda simlefu mizengwe itaanza angalia wakaskazini walivyo jipanga yani yule msagaji ndio m/kiti wa akina mama Ukistajabu ya mussa utaona ya firauni
Nilikuwa naipenda sana Chadema. Sasa sijui nijiunge na chama gani....!!!!
Hii single ya ukanda na ukaskazini ilishabugi siku nyingi tu. Kuna manaibu katibu wakuu wawili. Umeamua kuandika mmoja tu.Chadema yadhihirisha ubaguzi wa
kikanda,Sasa
1.mwenyekiti (Mbowe)-Mkaskazini
2.Katibu mkuu (Slaa)-Mkaskazini
3.Naibu katibu mkuu(Mnyika)-Mk
askazini.
4.Mwenyekiti Bawacha (Mdee) -
Mkaskazini.
5.Mweka hazina-Mkaskazini
Duuuh,Mwanzo nilijua hoja ya
ukanda kwa chadema ni
propaganda kumbe ni FACT.
Wale wa kukanusha naombeni
mtueleze sifa ya ziada walizonazo
watanzania wanaotoka kaskazini
kuliko wanachadema wa kutoka
mikoa mingine.
La sivyo mnataka tuamini kuwa
chadema wenye akili ni watu wa
kaskazini.
respect..............Malizia na akina Prof Safari wa Kaskazini, Said Issa Mohamed ni wa Kaskazini, Salum Mwalimu Juma ni wa Kaskazini, Patrobas ni wa Kaskazini, Hashim ni wa Kaskazini, Hawa Mwaifunga ni wa Kaskazini, Jannet Fussi ni wa Kaskazini, Zeudi ni wa Kaskazini, Rutembeka ni wa Kaskazini.