Mnusaji
Member
- Feb 16, 2012
- 67
- 20
Kumekuwa na mgogoro usiomalizika kati ya Wilfred Lwakatare ambaye ni M/Kiti wa CHADEMA mkoa na Mbunge wa viti Maalum Conchester Lwamlaza.
Kumekuwa na usuluhishi wa mara kwa mara lakini kauli ya nimesamehe huwa inatoka kinywani tu ila moyoni bado mgogoro unaendelea.
matokeo yake kwa sasa kila anayejitokeza kukipigania chama....inabidi ijulikane kama yuko upande wa Lwakatare au Lwamlaza. Kitu asichopenda kusikia Lwakatare na kambi yake ni kuwa kwa sasa hana mvuto wala ubavu wa kupambana na Kagasheki.
Ikisemwa hivo wanasema kama hana mvuto basi mwenye mvuto ajitokeze mpaka sasa hajajitokeza. Ilikuwa aje Gration Mukoba lakini kwa vile Lwakatare kasimika na kuna kambi mbili jamaa ameona kuwa atakuja kujiharibia bure.
Wadau wa ndani wanadai kuwa chanzo cha mgogoro ni kukiukwa kwa makubaliano kati ya Lwakatare na Lwamlaza. Ni kwamba Lwamlaza alipata nafasi ya Ubunge kwa sababu ya kura alizokuwa kapigiwa Lwakatare, lakini fadhila hasa katika kutumia kukijenga chama ikawa ni Hamna.
Hivo kila anayetaka kujitokeza kujenga chama swali linakuja uko upande gani? Hali hii imesababisha mgawanyiko mkubwa utakaoinufaisha CCM. Na inaonekana makao makuu wameshindwa hii kitu.
Kumekuwa na usuluhishi wa mara kwa mara lakini kauli ya nimesamehe huwa inatoka kinywani tu ila moyoni bado mgogoro unaendelea.
matokeo yake kwa sasa kila anayejitokeza kukipigania chama....inabidi ijulikane kama yuko upande wa Lwakatare au Lwamlaza. Kitu asichopenda kusikia Lwakatare na kambi yake ni kuwa kwa sasa hana mvuto wala ubavu wa kupambana na Kagasheki.
Ikisemwa hivo wanasema kama hana mvuto basi mwenye mvuto ajitokeze mpaka sasa hajajitokeza. Ilikuwa aje Gration Mukoba lakini kwa vile Lwakatare kasimika na kuna kambi mbili jamaa ameona kuwa atakuja kujiharibia bure.
Wadau wa ndani wanadai kuwa chanzo cha mgogoro ni kukiukwa kwa makubaliano kati ya Lwakatare na Lwamlaza. Ni kwamba Lwamlaza alipata nafasi ya Ubunge kwa sababu ya kura alizokuwa kapigiwa Lwakatare, lakini fadhila hasa katika kutumia kukijenga chama ikawa ni Hamna.
Hivo kila anayetaka kujitokeza kujenga chama swali linakuja uko upande gani? Hali hii imesababisha mgawanyiko mkubwa utakaoinufaisha CCM. Na inaonekana makao makuu wameshindwa hii kitu.