Hatima ya CHADEMA Bukoba iko Mikononi mwa Lwakatare na Conchester, Vinginevyo CCM Itapeta tu

Lwakatare wee baki na USALAMA WA CHAMA. Hadi leo ni wewe umeshaonja joto ya kurekodiwa LIVE na hivyo ninafahamu utakuwa umeshajiandaa vyema ili lisirudie tena hili swala.
Pia chama kilikupigania hadi kesi yako ikaisha na sasa umerudi kuwa Mkuu wa Kitengo cha USALAMA.

Hiki ni kitengo muhimu sana kuzidi hata ubunge unaoweza kuupata. Usalama wa viongozi wa Chadema utategemea sana wewe umejipanga vipi. Pia waksihakuwa na uhakika wako salama, watawanyuka vyema CCM wakijua utawalinda.

Nina imani BUSARA zitatawala na mwakani CCM kitakuwa chama cha KAWAIDA tu hapa Tanzania. Ntapigana sana kisife kwani CHADEMA au UKAWA wakitawala, baada ya muda wakikosa UPINZANI, watakuwa kama CCM vilevile....

Ndugu
kwa taarifa tu ni kuwa kesi yetu na Lwakatare haijamalizika...na kesho tarehe 2 tunakwenda mahakamani.
Pili ni kuwa chadema wala hawako na kamanda Lwakatare....na nawahakikishia kesi hii ikimalizika....ndiyo utakuwa mwisho wa Lwakatare katika chama....tazama walivyomuangusha kila mara.....kwenye kanda,kwenye uenyekiti mkoa, na hapo ulinzi na usalama wana aibu tu kwa sasa.....wengi hamuijui chadema ilivyo kwa ndani.
juu ya mgogoro wa hawa wawili...nadhani unakuzwa na majungu tu badala ya ukweli....hakuna anayemchukia mwenziye kati ya hawa wawili....Ila ni kweli Lwakatare hataweza kushinda ubunge.
 
Ndugu
kwa taarifa tu ni kuwa kesi yetu na Lwakatare haijamalizika...na kesho tarehe 2 tunakwenda mahakamani.
Pili ni kuwa chadema wala hawako na kamanda Lwakatare....na nawahakikishia kesi hii ikimalizika....ndiyo utakuwa mwisho wa Lwakatare katika chama....tazama walivyomuangusha kila mara.....kwenye kanda,kwenye uenyekiti mkoa, na hapo ulinzi na usalama wana aibu tu kwa sasa.....wengi hamuijui chadema ilivyo kwa ndani.
juu ya mgogoro wa hawa wawili...nadhani unakuzwa na majungu tu badala ya ukweli....hakuna anayemchukia mwenziye kati ya hawa wawili....Ila ni kweli Lwakatare hataweza kushinda ubunge.
Tangu lini wewe mamluki ukawa msemaji wa chadema ? nakupa onyo la mwisho , achana na cdm nenda kaungane na wasaliti wenzio , unataka kupotosha kwa manufaa ya nani ? CC - TUMAINI MAKENE , JOHN MNYIKA , FREEMAN MBOWE .
 
Huyu au mwingine?

Lwakatare.jpg


Ndugu
kwa taarifa tu ni kuwa kesi yetu na Lwakatare haijamalizika...na kesho tarehe 2 tunakwenda mahakamani.
Pili ni kuwa chadema wala hawako na kamanda Lwakatare....na nawahakikishia kesi hii ikimalizika....ndiyo utakuwa mwisho wa Lwakatare katika chama....tazama walivyomuangusha kila mara.....kwenye kanda,kwenye uenyekiti mkoa, na hapo ulinzi na usalama wana aibu tu kwa sasa.....wengi hamuijui chadema ilivyo kwa ndani.
juu ya mgogoro wa hawa wawili...nadhani unakuzwa na majungu tu badala ya ukweli....hakuna anayemchukia mwenziye kati ya hawa wawili....Ila ni kweli Lwakatare hataweza kushinda ubunge.
 
Tangu lini wewe mamluki ukawa msemaji wa chadema ? nakupa onyo la mwisho , achana na cdm nenda kaungane na wasaliti wenzio , unataka kupotosha kwa manufaa ya nani ? CC - TUMAINI MAKENE , JOHN MNYIKA , FREEMAN MBOWE .

Ndugu
jifunze kusoma na kuelewa kilichoandikwa. unanipa onyo wewe? mabosi wako wako wapi...naona umekimbilia kuwakopia....ni kweli...Lwakatare anatumiwa tu kwa sasa. kesi ikiisha atatupwa...ukweli huu nadhani hata yeye anaujua
 
Tunataka vijana wapya damu mpya hawa wazee mpaka ngozi zimechoka wakae pembeni, waridhike na wasijione bila wao basi hakuna kitu.
 
Ndugu
kwa taarifa tu ni kuwa kesi yetu na Lwakatare haijamalizika...na kesho tarehe 2 tunakwenda mahakamani.
Pili ni kuwa chadema wala hawako na kamanda Lwakatare....na nawahakikishia kesi hii ikimalizika....ndiyo utakuwa mwisho wa Lwakatare katika chama....tazama walivyomuangusha kila mara.....kwenye kanda,kwenye uenyekiti mkoa, na hapo ulinzi na usalama wana aibu tu kwa sasa.....wengi hamuijui chadema ilivyo kwa ndani.
juu ya mgogoro wa hawa wawili...nadhani unakuzwa na majungu tu badala ya ukweli....hakuna anayemchukia mwenziye kati ya hawa wawili....Ila ni kweli Lwakatare hataweza kushinda ubunge.

Aisee sikujua kama kesi inaendelea.....................kumbe ndo hivo, basi ngoja nishout.
 
Lisemwaro kweli lipo au linakaribia kuepo. CHADEMA Bukoba mjini na vijijini kuna shida saana. Mjini shida ni kuepo makundi kwenye chama.Kundi la Lwakatare na wasio na Lwakatare hii inaleta mpasuko mkubwa kabisa.
Bukoba vijijini chama bado akijajingenga vizuri ingawa makamanda tumejaribu saana na makundi kwetu mwiko. Kuna watu watatu wamechukua form manispaa lakini kulingana na makundi imekua nongwa. Jimbo la vijijini ni kubwa na linaitaji mtaji mkubwa wa raslimali fedha kabisa ila tutapigana mpaka kieleweke. DIWANI CDM KATA KARABAGAINE BUKOBA VIJIJINI
 
Lisemwaro kweli lipo au linakaribia kuepo. CHADEMA Bukoba mjini na vijijini kuna shida saana. Mjini shida ni kuepo makundi kwenye chama.Kundi la Lwakatare na wasio na Lwakatare hii inaleta mpasuko mkubwa kabisa.
Bukoba vijijini chama bado akijajingenga vizuri ingawa makamanda tumejaribu saana na makundi kwetu mwiko. Kuna watu watatu wamechukua form manispaa lakini kulingana na makundi imekua nongwa. Jimbo la vijijini ni kubwa na linaitaji mtaji mkubwa wa raslimali fedha kabisa ila tutapigana mpaka kieleweke. DIWANI CDM KATA KARABAGAINE BUKOBA VIJIJINI

Mkuu we tangulia mie kata katerero 2020 kwa udiwani. Kwahiyo unamaanisha hata hao watatu wa manispaa nao wamezuiwa kwasababu ya Lwaka na Rwamlaza?
Bkb vijijini limekuwa kama si tageti ya CDM kwasababu always utasikia wako Muleba,Karagwe n.k huku wakiiruka hiyo sehemu ya katikati. Huwa sielewi sababu ni zipi hasa, na sitashangaa pia wakashindwa kupata wagombea maeneo hayo kwasababu Rweikiza ameachwa ajinafasi bila presha yoyote. We fikiria Rweikiza anamhofia Karamagi na si Ukawa wala CDM kwasababu anajua wapinzani hawapo katika jumbo lake
 
Kwani elimu ya mwenyekiti Mbowe na hao wanao zozana hko bukoba ipi kubwa?Hii ndio hasara ya chama kufanywa kama milki ya mtu.
 
Hilo jimbo liko njia nyeupe kwenda chadema kama kuna mgogoro hiyo ni habari nyingine na habar mbaya sana
 
Back
Top Bottom