Kasheshe
JF-Expert Member
- Jun 29, 2007
- 4,694
- 793
umesahau kama haya maandamano yangetokea huko kwenu ni 99pcnt wangekuwa kabila yako?
Who told you Arusha ni ya Wachaga?
umesahau kama haya maandamano yangetokea huko kwenu ni 99pcnt wangekuwa kabila yako?
Kishongo Arusha wanaishi kabila gani??
wanaJF hii hati ya mashtaka ni defective(mtanisamehe kwa kuchanganya lugha) kwanza wakili wa serikali alieiandaa anajua kabisa hawa watu hawana hatia au ni mbumbumbu wa sheria.Unamshitakije mtu kwa unlawfull assembly wkt tayari walipewa kibali cha kukutana na kufanya mkutano? Pili ni ngumu kuthibitisha pasipo mashaka watu wote waliotajwa kama waliandamana manake kumkuta mtu barabarani na kumkamata si uthibitisho alikuwa anandamana hapo kuprove ni ngumu sana.tatu dr Slaa alikamatwa hotelini kwake sasa utasemaje kafanya unlwfully assembly wkt alihutubua mkutano halali ulioruhusiwa? pia breach of peace imesababishwa na police wenyewe manake hao wanachadema walishava vitambaa vyeupe kuonyesha amani na hawakufanya vurugu yoyote hadi polisi walipoanza kuwatibulia na pia haipo wazi hawakutii amri gani ya kamanda wa polisi ya kutohudhuria kwenye mkutano au kuandamnana kwani unapoenda kwenye mkutano unapita anagani au unatembea sasa kama walitembea wakiwa wanaelekea kwenye mkutano nayo ni makosa? kwani walifunga barabara na kuzuia shughuli za kawaida kuendelea Arusha? hii kesi ni ya kiupuuzi tu na hata hati ya mashtaka imeandaliwa kizushi haina msingi wowote.nadhani Mabere marando aatafanya fasta hiyo kesi ifutwe haina msingi wowote kisheria waziachie mahakama ziendeshe mashauri mengine ya maana.Wakili Maranado atatoa pingamizi la hiyo charge sheet mapema tu kesi ifutwe mchakato wa kutafuta demokrasia ya kwei uendelee.Na polisi nao washtakiwe kwa kuua!
Asante, Wililiki kwa charge sheet.
Kilichofanyika leo, ni kuandaa hati ya mashitaka kwa mtindo wa zimamoto hivyo kulipua lipua tuu ili kutimiza matakwa ya kisheria ya kufikishwa mahakamani ndani ya saa 24 tangu kukamatwa.
Kisheria, kwa charge sheet hiyo, pale hakuna kesi, kwanza ni bailable na pili its nothing!.
Angalizo, mabingwa wa kuchakachua kesi wa polisi toka polisi makao makuu, wameshatua mjini Arusha leo, kutengeneza kesi ya msingi, hivyo klesi itakapotajwa tena, serikali, itabadilisha hati ya mashitaka kwa kuwageuzia kibao Chadema kuwa ndio waliosababisha vifo vile, msishangae kama itageuzwa muder case 'unbailable!' jamaa kushikiliwa na polisi, by the time wanaachiwa, mabingwa wa kufanya mambo, watakuwa wameshafanya mambo, wakitoka tuu, sio wale wale waliongia, bali wengine kabisa!
Kusema kweli, kuna wakati huwa namkumbuka spika Sitta, asingekubali, wabunge wa Bunge lake wadhalilishwe namna hii kwa sababu za kipuuzi zisizo na kichwa wala miguu!.
wanaJF hii hati ya mashtaka ni defective(mtanisamehe kwa kuchanganya lugha) kwanza wakili wa serikali alieiandaa anajua kabisa hawa watu hawana hatia au ni mbumbumbu wa sheria.Unamshitakije mtu kwa unlawfull assembly wkt tayari walipewa kibali cha kukutana na kufanya mkutano? Pili ni ngumu kuthibitisha pasipo mashaka watu wote waliotajwa kama waliandamana manake kumkuta mtu barabarani na kumkamata si uthibitisho alikuwa anandamana hapo kuprove ni ngumu sana.tatu dr Slaa alikamatwa hotelini kwake sasa utasemaje kafanya unlwfully assembly wkt alihutubua mkutano halali ulioruhusiwa? pia breach of peace imesababishwa na police wenyewe manake hao wanachadema walishava vitambaa vyeupe kuonyesha amani na hawakufanya vurugu yoyote hadi polisi walipoanza kuwatibulia na pia haipo wazi hawakutii amri gani ya kamanda wa polisi ya kutohudhuria kwenye mkutano au kuandamnana kwani unapoenda kwenye mkutano unapita anagani au unatembea sasa kama walitembea wakiwa wanaelekea kwenye mkutano nayo ni makosa? kwani walifunga barabara na kuzuia shughuli za kawaida kuendelea Arusha? hii kesi ni ya kiupuuzi tu na hata hati ya mashtaka imeandaliwa kizushi haina msingi wowote.nadhani Mabere marando aatafanya fasta hiyo kesi ifutwe haina msingi wowote kisheria waziachie mahakama ziendeshe mashauri mengine ya maana.Wakili Maranado atatoa pingamizi la hiyo charge sheet mapema tu kesi ifutwe mchakato wa kutafuta demokrasia ya kwei uendelee.
upuzi mtupu nadhani hata huyo wakili wa serikali anafanya kazi kisiasa na sio kama mtetezi wa haki za msingi za binadamu sijui kasoma chuo ghani huyo.
90% are Chagga.?????
government vs christian