"Karibu jamaa yetu"
Acha wivu wa kike bwashee!alisema hivyo akimaanisha watanzania na sio kikwete
Najua wengi hamkupata nafas ya kuangalia ugeni wa leo kule bondeni,ila ni kwamba MC wa leo alipolitaja jina la president wetu,alitamka na haya maneno
"Karibu ndugu yetu"
kama binadamu naweza kumchukia kwa mambo mengine,lakini mambo yafuatayo kikwete atakumbukwa na watz wengi,hasa waliopo maeneo ya pembezoni kwa kuwa ameyafanya kwa vitendo:
Kuunganisha maeneo mengi ya nchi kwa barabara za changarawe na lami
kupeleka umeme katika maeneo mengi ya nchi.
Utekelezaji wa miradi mingi ya maji ambapo kila halmashauri ya wilaya imepata wastani wa vijiji 10 kupitia programu ya maji vijijini (nrwssp).
Mtu wa visasi ameanza kujihamikikwete ni kiongozi wa watu.
Asiependa visasi.
Mwenye ubinadamu.
Mpoe.
Mkarimu.
Mcheshi.
Mchapakazi.
Hana maneno mengi zaidi ya vitendo.
Your highness Live longlife.
Mtu wa visasi ameanza kujihami
Acha wivu wa kike bwashee!
kikwete ni kiongozi wa watu.
Asiependa visasi.
Mwenye ubinadamu.
Mpoe.
Mkarimu.
Mcheshi.
Mchapakazi.
Hana maneno mengi zaidi ya vitendo.
Your highness live longlife.
Mwanamke mdini wewe hívi yakitokea machafuko ya kidini una pakwenda tayari angalia comments zako unazotoa nchi ni yetu zote udini haulipi.
Hakuna wivu wa kike hapo,, kaongea ukweli mtupu!
Lazima wewe ni msambaakikwete ni kiongozi wa watu.
Asiependa visasi.
Mwenye ubinadamu.
Mpoe.:A S-confused1:
Mkarimu.
Mcheshi.
Mchapakazi.
Hana maneno mengi zaidi ya vitendo.
Your highness Live longlife.
sure,jamaa amekaribia miaka 70,lakini utadhani ana miaka 45.Namuombea rais wetu Jakaya Kikwete aishi miaka mingi zaidi ya Mandela.
jamvi la wageni wapi tena?...ungeishi kenya si ndo ungejinyonga kwa machungu mkuu?.Umaarufu wake nje ya nchi hautusaidii sisi. Nchi ameifanya jamvi la wageni lazima wampende.