Hatariiiiiiiiiiiiiiii

Hatariiiiiiiiiiiiiiii

zhi you nhi

Member
Joined
Dec 16, 2012
Posts
60
Reaction score
18
Habari wanajf...

Natatizwa na hili swala jaman nisaidieni
Hv kuna madhara yoyote kuendelea kuwasiliana na x-boy /x-girl wako,wakati unadate na mtu mwingine??

Nahitaji msaada wakuu
 
inategemea mnawasiliana nini?
kwa frequency gani?
kwa njia gani?
malengo ya kuwasiliana ni yapi ?
je hayo malengo yanatofautiana au yanafanana?

ila mwisho wa siku ukaribu haukubaliki.
 
Kwani wewe huyo unaemdate akiwasiliana na ex wake utajali? Kama hautojali naye akiwasiliana na ex endelea tu.
 
inategemea mnawasiliana nini?
Kwa frequency gani?
Kwa njia gani?
Malengo ya kuwasiliana ni yapi ?
Je hayo malengo yanatofautiana au yanafanana?

Ila mwisho wa siku ukaribu haukubaliki.


nimeipenda sana hii. God bless you asakuta same
 
Si vyema kuendeleza mawasiliano ili kumlinda ulienae, maana hakuna kitu kinachoumiza kama ukijua boy/girl wako anawasiliana na x wake.
 
Back
Top Bottom