asakuta same
JF-Expert Member
- Mar 1, 2011
- 14,829
- 5,039
Mkuu mimi sioni tatizo la kuwasiliana,hofu yangu ipo kwenye kurudiana!
watarudiana vipi bila mawasiliano?
Mkuu mimi sioni tatizo la kuwasiliana,hofu yangu ipo kwenye kurudiana!
Habari wanajf...
Natatizwa na hili swala jaman nisaidieni
Hv kuna madhara yoyote kuendelea kuwasiliana na x-boy /x-girl wako,wakati unadate na mtu mwingine??
Nahitaji msaada wakuu
Hatari ndiyo hapo inapojitokeza!watarudiana vipi bila mawasiliano?