Hatari yaku date na single mummyz

Hatari yaku date na single mummyz

Sasa mwanaume kamili unaoaje singo mama


NB:umeshindwa kuoa bikra yaan umeshindwa hata kupata ambaye hajazaa
Kwani singo mom ni kifaru au ni Nini? Ni shimo la taka? Akiwa singo mother anakuwa na mkosi au wewe bikra umekutana nazo ngapi? Kwani ukio ambaye hajazaa baada ya mwaka akazaa na yule singo mom Kuna tofauti gani.? Hanaway labda wewe Ni mvulana. Lakini kwa true family man Hilo sio tatizo kabisa. Kwani unadate/unaoa wanae.?
 
Kwani singo mom ni kifaru au ni Nini? Ni shimo la taka? Akiwa singo mother anakuwa na mkosi au wewe bikra umekutana nazo ngapi? Kwani ukio ambaye hajazaa baada ya mwaka akazaa na yule singo mom Kuna tofauti gani.? Hanaway labda wewe Ni mvulana. Lakini kwa true family man Hilo sio tatizo kabisa. Kwani unadate/unaoa wanae.?
Singo mama ni zaid ya hiyo taka ,hiv unawezaje kuzaa kabla hujaolewa(acha wajane na walioachika reasonably) kama sio kiranga ni nin?

Sijawah kukutana na bikra naitafuta kwa nguvu sana kama unayo ni-pm niweke jiwe la msingi nisafishe hii nyota ya skrepa (used)
 
Ndio maana ya "naweza" anyway. Yamekwisha kijana
 
Habarini wadau,

Kwanza si kama nawadharau single mumy but natoa tu rai yangu kwa vijana especially vi Ben ten kwamba kutoka kimapenzi na mwanamke aliyezalishwa alafu akaachwa ni sawa na kucheza game ambayo mwenzio kaicheza mwishowe kaamua kuisevu kwenye simu yake then baadae unakuja wewe na kujitutumua kuanza kuicheza, tambua tu mwenye mchezo wake akija tu lazima utampisha tu.

Be careful vijana nawasilisha tu sijamtusi m2.
Waache kulea viben ten maana vinawaliza wengi sikatai ni jasho lako lakini kuanza kumlea mtoto wa mwanamke mwenzio wakati nawe unawako umezaa bora uwekeze kwa mwanao apate elimu bora kuliko kulea kiben ten.
 
Habarini wadau,

Kwanza si kama nawadharau single mumy but natoa tu rai yangu kwa vijana especially vi Ben ten kwamba kutoka kimapenzi na mwanamke aliyezalishwa alafu akaachwa ni sawa na kucheza game ambayo mwenzio kaicheza mwishowe kaamua kuisevu kwenye simu yake then baadae unakuja wewe na kujitutumua kuanza kuicheza, tambua tu mwenye mchezo wake akija tu lazima utampisha tu.

Be careful vijana nawasilisha tu sijamtusi m2.
Kazi ipo
 
Upate single mom awe 30 - 35 of age hadi 40 per say kwa kweli hawana karaha nadhani experience imewabadilisha. Ni watamu mnoo u womder why most women hawawi hivyo kabla ya kuolewa au kuzaa.

Siku zingine unakosa hela unamuambia anaelewa (well kwa experience yangu mm sijui wengine)
 
Ukitaka kuenjoy maisha chukua Chombo ya 45+yrs, wana utulivu mkubwa mno.
 
Upate single mom awe 30 - 35 of age hadi 40 per say kwa kweli hawana karaha nadhani experience imewabadilisha. Ni watamu mnoo u wonder why most women hawawi hivyo kabla ya kuolewa au kuzaa.

Siku zingine unakosa hela unamuambia anaelewa (well kwa experience yangu mm sijui wengine)
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom