mkuu na ww ushaanza kumpenda bas mi wacha ni bwage moyoMi nimekupenda wew,
Nakubaliana na wewe, sasa kuna wale wanaojilengesha makusudi wakiona mwanaume anavijisenti!Jiulize hao single moms wamepatikanaje bila ya wanaume waliowapa ahadi ya kuwaoa kisha kuwatelekeza,wengine walibakwa nk;angalia sana maneno yako usije juta baadae kwasababu ipo siku na ww utakuwa na watoto wa kike
Hata mi nimekupenda weweMi nimekupenda wew,
Kama unajua kumwaga ujue kuleaAnaekinga shahawa ndo mwenyematatizo ya akili sababu haiwezekani unajua shambalako linambolea alafu unakubali maji yaingie shambani then baadae unaanza kulalama mimea,ikiota kumlaum aliekupa maji......sisi kazi yetu nikuwamwagia tu mana hamna jinsi
Hata mi nimekupenda wewe
Kama unajua kukinga kubali yaishe kwamba unamiliki kingioKama unajua kumwaga ujue kulea
Hata hivyo nina watoto wakike na wote wameolewa ndoa za heshima kabisaJiulize hao single moms wamepatikanaje bila ya wanaume waliowapa ahadi ya kuwaoa kisha kuwatelekeza,wengine walibakwa nk;angalia sana maneno yako usije juta baadae kwasababu ipo siku na ww utakuwa na watoto wa kike
Huo ni urongoMi sijakuelewa kabisaaaa! Endelea na hao dot.com wako....Ila kumbuka kutuletea mrejesho hapahapa. Ndio nyie mnakuja kutulilia hapa Baadae,simwachi single Mum wangu kamwe.
Kwa hii coment bilashaka ww ni single mother wa watt wa3 huku kila m1 na baba yakeunachokiwaza wewe basi jua ni wewe tu... kila mtu ana IQ yake.... mkuu umechelewa sana kujielewa..!!!!
KUfa na yamoyoni ni sign ya u selfish aisee inabd kufunguka ili vjana watambue hatari ya hawa used women (single mums )Aisee imenibidi nijizuie sana kutoa povu langu la fire extinguisher.
Kila mwanamke/mwanaume ni potential single mother/father respectively. Kuna sababu nyingi sana zinachangia mtu kuwa single mother/father.
Jiheshimu mkuu! Kuwa na anonymous ID hapa JF isichochee kuanzisha threads za kipuuzi kama hizi. Mwanaume wa kweli anakufa na yaliyomo moyoni mwake.
ONYO: Kubalehe chini ya umri ni hatari kwa akili yako!
Japo Ni post ya zamakini si busara kuwasakama hawa wadada kisa wamezaa. Kuzaa sio dhambi, au ikitokea akazaa ndio imekuwa rahana kwao. Haya ni mambo ya kawaida katika maisha kwani akizaa ndo anageuka paka mwitu? Kwani hawa tunaowaita wasicha (ambao hawajazaa wangapi umekuta mabikira? So Cha ajabu au tofauti nni? Au single wanajipa mimba? Kuna watu mnakimbia mimba na watoto sasa ukikimbia ajinyonge au? Haya Ni mawazo ya watoto na wavulana lakini kwa wanaume hii Ni akili mgando.Habarini wadau,
Kwanza si kama nawadharau single mumy but natoa tu rai yangu kwa vijana especially vi Ben ten kwamba kutoka kimapenzi na mwanamke aliyezalishwa alafu akaachwa ni sawa na kucheza game ambayo mwenzio kaicheza mwishowe kaamua kuisevu kwenye simu yake then baadae unakuja wewe na kujitutumua kuanza kuicheza, tambua tu mwenye mchezo wake akija tu lazima utampisha tu.
Be careful vijana nawasilisha tu sijamtusi m2.
Japo Ni post ya zamakini si busara kuwasakama hawa wadada kisa wamezaa. Kuzaa sio dhambi, au ikitokea akazaa ndio imekuwa rahana kwao. Haya ni mambo ya kawaida katika maisha kwani akizaa ndo anageuka paka mwitu? Kwani hawa tunaowaita wasicha (ambao hawajazaa wangapi umekuta mabikira? So Cha ajabu au tofauti nni? Au single wanajipa mimba? Kuna watu mnakimbia mimba na watoto sasa ukikimbia ajinyonge au? Haya Ni mawazo ya watoto na wavulana lakini kwa wanaume hii Ni akili mgando.
Kutoka rohoni uwa nazichukia sana mada za watu kama wewe ambao wanawaponda single mom,nanicho amini uwa hamja kuwa na kama mme kuwa basi mmekuwa ki umri sio ki akili,kwanza jiulize wanajibebesha mimba hao,pia mnataka kina dad wawe wanatoa mimba sio?tumieni akili msilete mada za kutanguliza tamaa mbele mnawaza ngono tu hoo walio zaa sijui nini mara nani akuna single mom bila baba alie shindwa majukumu yake au alie kimbia mimba atukatai kuna wengine wana makosa yao ila isiwe wimbo sasa,kama ni kuchapiwa ata uoe bikra kama umeoa mshenzi utachapiwa tu.
Lengo hasa nikuwaasa vjana wasio na hatia wasijarib kujiingza kwenye mitego yakudate na hawa used ppo let them find fresh women