Hatari yaku date na single mummyz

MWANA ileje

JF-Expert Member
Oct 22, 2016
744
571
Habarini wadau,

Kwanza si kama nawadharau single mumy but natoa tu rai yangu kwa vijana especially vi Ben ten kwamba kutoka kimapenzi na mwanamke aliyezalishwa alafu akaachwa ni sawa na kucheza game ambayo mwenzio kaicheza mwishowe kaamua kuisevu kwenye simu yake then baadae unakuja wewe na kujitutumua kuanza kuicheza, tambua tu mwenye mchezo wake akija tu lazima utampisha tu.

Be careful vijana nawasilisha tu sijamtusi m2.
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom