Mzee wa kurekebisha
Senior Member
- Sep 29, 2012
- 178
- 169
Ni huduma hatari sana hasa pale unapokosea kutoa pesa ikaenda kwa wakala au namba nyingine. Nashangaa kwa hili lililonitokea nilikuwa natoa pesa kwa wakala hapa Songea lakini pesa imeenda kwa wakala ambaye yuko Shinyanga. Mpaka leo nafanya kazi ya kupiga simu fedha hazirudishwi naishia kukatwa 100 tu na hizo 150,000 hazirudi halafu sio mimi tu nimekutana na watu wawilia ambao wanadai mpaka wamechoka.