made
JF-Expert Member
- Jun 29, 2010
- 890
- 585
Nadhani ni katika wale wanaosubiri post za kwenda form 5.Tatizo kumbe siyo M-pesa...tatizo ni wewe. Kukosea kwako usigeneralize kuwa mpesa siyo salama.
Nadhani ni katika wale wanaosubiri post za kwenda form 5.Tatizo kumbe siyo M-pesa...tatizo ni wewe. Kukosea kwako usigeneralize kuwa mpesa siyo salama.
Naambiwa wakala hana Pesa au system inasumbua.
dah, kumbe ni wengi nilifikiri nikopeke yangu yaani hawa jamaa wa voda sijui
vipi. Hata miminaambiwa nisichoke kupiga simu na mpaka sasa nimepiga zaidi ya mara 20
kudai shilingi 38,000 tu ambazo zilienda kwa wakala mwingine
hata miminashangaa kwani sikuandika namba ya huyo wakala sijui imekujaje tena dakika 2
baada ya tatizo hilo nilipiga simu lakini hawakunisaidia yaani toka tarehe 22/6/13 mpaka leo
hawataki kurudisha na ushahidi ni huu hapa chini.
R98zy852 imethibitishwa tarehe 22/6/13 saa 9:36pm
toa tsh38,000 kutoka 859138 - esmail athumani
shabani salio lako jipya la mpesa ni tsh700.
Jamaa hawana msaada kabisa ni wasumbufu sana na
nina wasiwasi ni wezi ndio maana jina haliji mpaka pesa
iwe imetumwa tofauti na tigo ambao linakuja jina kwanza
Uko serious mkuu?
Na siku ukilewa ukalala choooni badala ya chumbani kwako uje uwalaumu vodacom hapa
likuwNi huduma hatari sana hasa pale unapokosea kutoa pesa ikaenda kwa wakala au namba nyingine. Nashangaa kwa hili lililonitokea nilikuwa natoa pesa kwa wakala hapa Songea lakini pesa imeenda kwa wakala ambaye yuko Shinyanga. Mpaka leo nafanya kazi ya kupiga simu fedha hazirudishwi naishia kukatwa 100 tu na hizo 150,000 hazirudi halafu sio mimi tu nimekutana na watu wawilia ambao wanadai mpaka wamechoka.
Kwenye transaction zote zinazohusisha fedha kwa njia ya electronic LAZIMA kuwe na mechanism ya 1. Kumsaidia mteja asifanye makosa rahisi katika transaction 2. Ku-recover fedha zake iwapo itatokea akakosea transaction. Hi ni kazi ya yule mtoa huduma eg vodacom na hawezi kusema ni uzembe wako! Record zote zipo kwanini ishindikane?