Ni huduma hatari sana hasa pale unapokosea kutoa pesa ikaenda kwa wakala au namba nyingine. Nashangaa kwa hili lililonitokea nilikuwa natoa pesa kwa wakala hapa Songea lakini pesa imeenda kwa wakala ambaye yuko Shinyanga. Mpaka leo nafanya kazi ya kupiga simu fedha hazirudishwi naishia kukatwa 100 tu na hizo 150,000 hazirudi halafu sio mimi tu nimekutana na watu wawilia ambao wanadai mpaka wamechoka.
Na siku ukilewa ukalala choooni badala ya chumbani kwako uje uwalaumu vodacom hapa
Dah, kumbe ni wengi nilifikiri nikopeke yangu yaani hawa jamaa wa Voda sijui
vipi. Hata miminaambiwa nisichoke kupiga simu na mpaka sasa nimepiga zaidi ya mara 20
kudai shilingi 38,000 tu ambazo zilienda kwa wakala mwingine
Hata miminashangaa kwani sikuandika namba ya huyo wakala sijui imekujaje tena dakika 2
baada ya tatizo hilo nilipiga simu lakini hawakunisaidia yaani toka tarehe 22/6/13 mpaka leo
hawataki kurudisha na ushahidi ni huu hapa chini.
R98ZY852 imethibitishwa tarehe 22/6/13 saa 9:36PM
Toa tsh38,000 kutoka 859138 - ESMAIL ATHUMANI
SHABANI salio lako jipya la MPESA ni Tsh700.
Jamaa hawana msaada kabisa ni wasumbufu sana na
nina wasiwasi ni wezi ndio maana jina haliji mpaka pesa
iwe imetumwa tofauti na tigo ambao linakuja jina kwanza
katika maswala yanayohusu transactions hasa za pesa likely kutokea human error, sasa lazima na kuwe na njia ya kuminimize matatizo kama haya. m-pesa kuna wakati wanaalert kuwa unapeleka pesa kwa... jina la muhusika, lakini wakati mwingine inapokupa option ya 1 or 2 haileti jina, kwa hiyo hapo ni try and error, unaweza kutuma ukakuta jina ni sahihi au umekosea one letter na kukupelekea kuingia kwenye shida. m-pesa katika hilo wajitahidi kufix ili kuepusha hasara na kupoteza muda kama hivi. mtu yeyote anaweza akakosea wakati wowote
Kwanza nakupa pole. Naamini ulitumia namba yao ya M-PESA customer service (15366) kuripoti tatizo lako. Maswali yangu ni je, walikupa reference namba ya tatizo lako? Kwanini wakwambie usiache kupiga simu wakati umesharipoti tatizo?Nasema hivyo kwani nimeshawahi kupata tatizo kama hilo lako na baada ya kuripoti nikapewa reference namba ambayo nilitakiwa niitume kwenda namba 100 yakipita masaa 24 bila hela yangu kurudi tangu nilipo ripoti tatizo lakini sikuambiwa nipige simu. Niliipata hela yangu baada ya masaa kama 40 hivi. Kwa msaada zaidi nakushauri ufike ofisi ya Voda iliyo karibu nina uhakika watakusaidia.
likuw
ilitokea kwangu nikawahi kupiga simu vodacom,wakazirudisha. Wewe ilikuaje? Pole sana, nenda vodacom wakala atakusaidia au piga simu customer care watakusaidia
Ni huduma hatari sana hasa pale unapokosea kutoa pesa ikaenda kwa wakala au namba nyingine. Nashangaa kwa hili lililonitokea nilikuwa natoa pesa kwa wakala hapa Songea lakini pesa imeenda kwa wakala ambaye yuko Shinyanga. Mpaka leo nafanya kazi ya kupiga simu fedha hazirudishwi naishia kukatwa 100 tu na hizo 150,000 hazirudi halafu sio mimi tu nimekutana na watu wawilia ambao wanadai mpaka wamechoka.