Hatari,Vodacom M-PESA si salama

Hatari,Vodacom M-PESA si salama

kwel kunawatu mabingwa wa kuunda title za Nyuzi,
haya umefanikiwa kupatd Visitors
 
Ni huduma hatari sana hasa pale unapokosea kutoa pesa ikaenda kwa wakala au namba nyingine. Nashangaa kwa hili lililonitokea nilikuwa natoa pesa kwa wakala hapa Songea lakini pesa imeenda kwa wakala ambaye yuko Shinyanga. Mpaka leo nafanya kazi ya kupiga simu fedha hazirudishwi naishia kukatwa 100 tu na hizo 150,000 hazirudi halafu sio mimi tu nimekutana na watu wawilia ambao wanadai mpaka wamechoka.

acha uvvu kuna namba ukpga wanakurudshia pesa yako
 
Tigo ndo mpango mzima utaratibu wao mzuri sana kwenye ishu kama hizi....
 
Huo ni uzembe wako wewe mwenyewe...mbona voda hawana sifa hiyo acha kuwachafua.
 
Na siku ukilewa ukalala choooni badala ya chumbani kwako uje uwalaumu vodacom hapa

katika maswala yanayohusu transactions hasa za pesa likely kutokea human error, sasa lazima na kuwe na njia ya kuminimize matatizo kama haya. m-pesa kuna wakati wanaalert kuwa unapeleka pesa kwa... jina la muhusika, lakini wakati mwingine inapokupa option ya 1 or 2 haileti jina, kwa hiyo hapo ni try and error, unaweza kutuma ukakuta jina ni sahihi au umekosea one letter na kukupelekea kuingia kwenye shida. m-pesa katika hilo wajitahidi kufix ili kuepusha hasara na kupoteza muda kama hivi. mtu yeyote anaweza akakosea wakati wowote
 
Dah, kumbe ni wengi nilifikiri nikopeke yangu yaani hawa jamaa wa Voda sijui
vipi. Hata miminaambiwa nisichoke kupiga simu na mpaka sasa nimepiga zaidi ya mara 20
kudai shilingi 38,000 tu ambazo zilienda kwa wakala mwingine

Hata miminashangaa kwani sikuandika namba ya huyo wakala sijui imekujaje tena dakika 2
baada ya tatizo hilo nilipiga simu lakini hawakunisaidia yaani toka tarehe 22/6/13 mpaka leo
hawataki kurudisha na ushahidi ni huu hapa chini.
R98ZY852 imethibitishwa tarehe 22/6/13 saa 9:36PM
Toa tsh38,000 kutoka 859138 - ESMAIL ATHUMANI
SHABANI salio lako jipya la MPESA ni Tsh700.

Jamaa hawana msaada kabisa ni wasumbufu sana na
nina wasiwasi ni wezi ndio maana jina haliji mpaka pesa
iwe imetumwa tofauti na tigo ambao linakuja jina kwanza

uko sawa. ishawahi kula kwangu pia.
 
katika maswala yanayohusu transactions hasa za pesa likely kutokea human error, sasa lazima na kuwe na njia ya kuminimize matatizo kama haya. m-pesa kuna wakati wanaalert kuwa unapeleka pesa kwa... jina la muhusika, lakini wakati mwingine inapokupa option ya 1 or 2 haileti jina, kwa hiyo hapo ni try and error, unaweza kutuma ukakuta jina ni sahihi au umekosea one letter na kukupelekea kuingia kwenye shida. m-pesa katika hilo wajitahidi kufix ili kuepusha hasara na kupoteza muda kama hivi. mtu yeyote anaweza akakosea wakati wowote

ni sawa mno! huwa wanaoinitumia pesa mimi, namba huwa sawa jina sasa sijawahi hata kulisikia.
 
Kwanza nakupa pole. Naamini ulitumia namba yao ya M-PESA customer service (15366) kuripoti tatizo lako. Maswali yangu ni je, walikupa reference namba ya tatizo lako? Kwanini wakwambie usiache kupiga simu wakati umesharipoti tatizo?Nasema hivyo kwani nimeshawahi kupata tatizo kama hilo lako na baada ya kuripoti nikapewa reference namba ambayo nilitakiwa niitume kwenda namba 100 yakipita masaa 24 bila hela yangu kurudi tangu nilipo ripoti tatizo lakini sikuambiwa nipige simu. Niliipata hela yangu baada ya masaa kama 40 hivi. Kwa msaada zaidi nakushauri ufike ofisi ya Voda iliyo karibu nina uhakika watakusaidia.

nilifata hizo procedure zote lakini bado cheche. reference namba hadi leo ninayo.
 
Ni huduma hatari sana hasa pale unapokosea kutoa pesa ikaenda kwa wakala au namba nyingine. Nashangaa kwa hili lililonitokea nilikuwa natoa pesa kwa wakala hapa Songea lakini pesa imeenda kwa wakala ambaye yuko Shinyanga. Mpaka leo nafanya kazi ya kupiga simu fedha hazirudishwi naishia kukatwa 100 tu na hizo 150,000 hazirudi halafu sio mimi tu nimekutana na watu wawilia ambao wanadai mpaka wamechoka.

Kukosea ukosee wewe, lawama uwatupie Vodacom? Mbona Majaaanga
 
Back
Top Bottom