Hatari sana kwa Afya yetu watanzania Warning Inflatables

Hatari sana kwa Afya yetu watanzania Warning Inflatables

Morg

JF-Expert Member
Joined
Oct 20, 2018
Posts
1,299
Reaction score
1,804
Ndugu zang najua nyote wazma Pole na majukumu ya hapa na pale
Main titles ya hii threads ni kutoa angalizo Kuna ugonjwa mpy umetanda katka sura yanchi yetu pendwa Tz unaitwa Homa ya Ini na mbaya Zaid inasambazwa kwa njia ya jasho baina ya two people na isitoshe Haina tiba bali ina Kinga tu na ni ugonjwa hatari sana na many people wamekutwa wanao huu ugonjwa na serikali yetu imetoa jitihada za kutoa chanjo kwa raia wake katka vituo vya kutolea Afya
Wahi kapime na upewe Kinga before it's too late u have time
Be careful hakun tena kukumbatiana ovyo kusalimiana na mikono no lkn swali ni kwamba ktka usafiri wetu wa umma I mean mwendokac and daladala tutapona kweli
Kuna wajuzi humu watupe detail about this desister
 
Ndugu zang najua nyote wazma Pole na majukumu ya hapa na pale
Main titles ya hii threads ni kutoa angalizo Kuna ugonjwa mpy umetanda katka sura yanchi yetu pendwa Tz unaitwa Homa ya Ini na mbaya Zaid inasambazwa kwa njia ya jasho baina ya two people na isitoshe Haina tiba bali ina Kinga tu na ni ugonjwa hatari sana na many people wamekutwa wanao huu ugonjwa na serikali yetu imetoa jitihada za kutoa chanjo kwa raia wake katka vituo vya kutolea Afya
Wahi kapime na upewe Kinga before it's too late u have time
Be careful hakun tena kukumbatiana ovyo kusalimiana na mikono no lkn swali ni kwamba ktka usafiri wetu wa umma I mean mwendokac and daladala tutapona kweli
Kuna wajuzi humu watupe detail about this desister


Mungu wetu mkuu, utunusuru kwani ni wewe unaweza kutunusuru na kama tumekukosea utusamehe kwani sisi ni viumbe wako dhaifu bila ya ulinzi na nguvu zako basi sote tutangamia.
Amin.

Mara, ukimwi, Ebola, Dengue, Zika, sasa homa ya inni, hepatitis A,B,C--------itafika hadi hepatitis "Z",

Eee,mola wetu tunusuru.
 
Dah juz kwenye kundi la watu miatano walikutwa 14 wanauo ugonjwa m 2015 tulipewa chanjo sema haikuisha maana yake ya mwisho ilikuwa n baada ya mwaka sasa baadaa ya kumaliza skuli hata sielew hyo moja ilobak naipataje
 
Mungu tusaidie maana kwa akili zetu na nguvu zetu wenyewe hatutaweza.
 
Back
Top Bottom