Makanyaga
JF-Expert Member
- Sep 28, 2007
- 10,327
- 6,850
Inatia moyo sana kama wewe ni mhusika kwenye swala hili. Tembo wanaua watu na wanamaliza mazao ya watu hata bila fidia. Hivi prioriy katika hili jambo ni nini, nani ana prioity ya kuishi kati ya tembo na binadamu? Siku mimi nikiwa na mamlaka, binadamu mmoja anauawa na tembo, tembo wote hawatakuwepo tena eneo hilo milele, nitajua nini cha kufanya, sitaki kukisema kwa sasaAsante kwa taarifa.
Ni binadamu kwanza, tembo baadaye. Kama binadamu na tembo hawawezi ku-co-exist, basi tembo ndiyo anatakkiwa asiwepo. Hatuwezi kuwa tunauza uhai wa binadamu, kisa fedha za utalii unaotokana na uwepo wa tembo. Hii maana yake tunauza uhai wa binadamu kwa fedha zinazotokana na utalii wa tembo, ambacho ni kitu kibaya sana. Hivi imeshindikana kabisa hata kuweka namna ya fencing ili kukomesha kabisa tembo wasivamie makazi ya watu ikiwa ni pamoja na mashamba yao?