Glenn
JF-Expert Member
- May 23, 2015
- 65,809
- 156,946
Habari wana JF wenzangu,
Ni miaka mingi nimekuwa mtumiaji wa barabara ya kuelekea Mikoa ya kaskazini mwa nchi yetu yaani Kilimanjaro na Arusha bila kuona wanyama wowote wakali kama simba au tembo.
Lakini jambo la kushangaza, hivi karibuni yameibuka makundi makubwa sana ya Tembo wengi sana wakiwa wamezunguka makazi ya watu kilomita sio chache kama 3 hadi 5 kutoka Same Mjini.
Hili ni jambo la hatari sana kwa wakazi wa Same na watumia barabara hii ya kazini hasa nyakati za usiku kwani madereva wengi hawajazoea hivyo huwa wanatembea kwa spidi bila tahadhari.
Kwa hatari hii nashauri waziri wa maliasili na utali achukue tahadhari ili kulinda maisha ya wakazi wa Same na watumia barabara hii ya kaskazini mwa nchi.
Ni miaka mingi nimekuwa mtumiaji wa barabara ya kuelekea Mikoa ya kaskazini mwa nchi yetu yaani Kilimanjaro na Arusha bila kuona wanyama wowote wakali kama simba au tembo.
Lakini jambo la kushangaza, hivi karibuni yameibuka makundi makubwa sana ya Tembo wengi sana wakiwa wamezunguka makazi ya watu kilomita sio chache kama 3 hadi 5 kutoka Same Mjini.
Hili ni jambo la hatari sana kwa wakazi wa Same na watumia barabara hii ya kazini hasa nyakati za usiku kwani madereva wengi hawajazoea hivyo huwa wanatembea kwa spidi bila tahadhari.
Kwa hatari hii nashauri waziri wa maliasili na utali achukue tahadhari ili kulinda maisha ya wakazi wa Same na watumia barabara hii ya kaskazini mwa nchi.