Hatari Same; Makundi ya tembo yanatishia uhai, Waziri Ndumbaro chukua hatua

Glenn

JF-Expert Member
May 23, 2015
65,809
156,946
Habari wana JF wenzangu,

Ni miaka mingi nimekuwa mtumiaji wa barabara ya kuelekea Mikoa ya kaskazini mwa nchi yetu yaani Kilimanjaro na Arusha bila kuona wanyama wowote wakali kama simba au tembo.

Lakini jambo la kushangaza, hivi karibuni yameibuka makundi makubwa sana ya Tembo wengi sana wakiwa wamezunguka makazi ya watu kilomita sio chache kama 3 hadi 5 kutoka Same Mjini.

Hili ni jambo la hatari sana kwa wakazi wa Same na watumia barabara hii ya kazini hasa nyakati za usiku kwani madereva wengi hawajazoea hivyo huwa wanatembea kwa spidi bila tahadhari.

Kwa hatari hii nashauri waziri wa maliasili na utali achukue tahadhari ili kulinda maisha ya wakazi wa Same na watumia barabara hii ya kaskazini mwa nchi.

IMG-20211011-WA0005.jpg
 
Binadamu tumeingilia natural habitats za wanyama na passing corridors zao waki migrate kutafuta chakula na maji.

Unfortunately wanyama wanaumia zaidi kutokana na sisi kuwaingilia mwenye makazi yao ya asili ya vizazi kwa vizazi.

Tunahitaji kuwa na strategies nzuri ili tuweze ku coexist.
 
Binadamu tumeingilia natural habitats za wanyama na passing corridors zao waki migrate kutafuta chakula na maji.

Unfortunately wanyama wanaumia zaidi kutokana na sisi kuwaingilia mwenye makazi yao ya asili ya vizazi kwa vizazi.

Tunahitaji kuwa na strategies nzuri ili tuweze ku coexist.
Hamna
Viongozi vilaza basi
 
Binadamu tumeingilia natural habitats za wanyama na passing corridors zao waki migrate kutafuta chakula na maji.

Unfortunately wanyama wanaumia zaidi kutokana na sisi kuwaingilia mwenye makazi yao ya asili ya vizazi kwa vizazi.

Tunahitaji kuwa na strategies nzuri ili tuweze ku coexist.
Asante Muhifadhi na ukame huu tutarajie MATUKIO YA KUSHANGAZA kwa Myama TEMBO
 
Binadamu tumeingilia natural habitats za wanyama na passing corridors zao waki migrate kutafuta chakula na maji.

Unfortunately wanyama wanaumia zaidi kutokana na sisi kuwaingilia mwenye makazi yao ya asili ya vizazi kwa vizazi.

Tunahitaji kuwa na strategies nzuri ili tuweze ku coexist.
Mkuu Same kuna mapito ya wanyama toka wapi?
Taveta?
Mkomazi?
Kuelekea wapi?
Umewahi kuona simba, twiga, swala au tembo Same, Mwanga au Hedaru?
 
Hamna
Viongozi vilaza basi
Majuzi nimemsikia waziri akisema, hao wanaolalamikia tembo, tembo, nao ni majangiri tu! Ina maana huko kwenye makazi yao, swala na wanyama wengine wadogo wadogo huwa hawawatembelei? Akimaanisha hao wanyama wadogo wanawaua, na kuwafanya vitoeo!
 
Mkuu Same kuna mapito ya wanyama toka wapi?
Taveta?
Mkomazi?
Kuelekea wapi?
Umewahi kuona simba, twiga, swala au tembo Same, Mwanga au Hedaru?
Kutoka mkomazi kuelekea manyara...Mbuga ya mkomazi na mbuga ya manyara ziko karibu sana ....na same ndo path way yao hasa wakat wa kiangazi ..Mm nimezaliwa same so nna experience ya hv vitu

Wanyama km Fisi ,swala ,digi digi ...nyoka aina zote hadi wakubwa .km Chatu walikua wanakuja mpaka mtaani
 
Kutoka mkomazi kuelekea manyara...Mbuga ya mkomazi na mbuga ya manyara ziko karibu sana ....na same ndo path way yao hasa wakat wa kiangazi ..Mm nimezaliwa same so nna experience ya hv vitu

Wanyama km Fisi ,swala ,digi digi ...nyoka aina zote hadi wakubwa .km Chatu walikua wanakuja mpaka mtaani
Umewahi kuona twiga au tembo hapo?
 
Ujenzi Holela wa makazi ya binadamu na shughuli zake holela za binadamu ndiyo tatizo la kuingilia himaya za wanyama pori.

Serikali zifukue tafiti zilizopo makabatini na kuanza 'kuwapanga' watu waishi wapi, ujenzi wa vijiji na miji pasipo himaya halali ya wanyamapori.
 
Sio same Tu hata maeneo mengine ya nchi asee Tembo wamekua wengi Sana asee na maafa yao ni makubwa hasa wakiingia mashambani asee ni total destruction yan
 
Back
Top Bottom