Hatari: Nimeacha kutumia Nyama

Hatari: Nimeacha kutumia Nyama

Mkuu upo vizur...kiukwel nyama ni pasua kichwa sana....inachukua mpak siku nne nyama kusagika tumboni..na hyo ni hatar sana, kupata vitambi, unene kupita kias, choo ngumu yenye mapingili na magonjwa ya kansa....nenda ocean road hospital nyama inaplay 70% ya victim wa kansa....Tatizo nyama ni tamu na ndio msosi wa stareh kwa nchi zet....Mungu tuepushe na hli balaa
Eti choo yenye pingilipingili
 
Mkuu upo vizur...kiukwel nyama ni pasua kichwa sana....inachukua mpak siku nne nyama kusagika tumboni..na hyo ni hatar sana, kupata vitambi, unene kupita kias, choo ngumu yenye mapingili na magonjwa ya kansa....nenda ocean road hospital nyama inaplay 70% ya victim wa kansa....Tatizo nyama ni tamu na ndio msosi wa stareh kwa nchi zet....Mungu tuepushe na hli balaa
Ebu fafanua.

Mtu aliyekula robo ya nyama kwa siku na mtu aliyekuls vipande vtatu vyenye ukubwa wa dole gumba mbili ina maana vyote hivi husagika kwa siku nne hizo hizo?.
 
Sababu za kiroho ni dhaifu na za kipuuzi sana.
Mungu karuhusu watu kula nyama hata kipindi waisraeli hawajatoka Misri Mungu alimwambia Musa watu wote wachinje kondoo damu waweke kwenye kizingiti cha mlango na nyama waile.
Suleman kila siku alikuwa anachinja ng'ombe na kuku kwa ajili ya kula(KILA SIKU).
Kula nyama usile nyama ila utakufa tu.
 
Ukiacha kula nyama uache na wanawake maana utakufa na ukimwi,pia ajali nyingi ,kufa hakuepukiki


Navyopenda samaki,kuku,nyama ya ng'ombe jamani mbona hivyo lakini
Shida iko hapa, u mfugaji au unatumia ule mfugo wako wa hapo bondeni kupata hizo nyama..
 
Dagaa ziko kundi gani? Samaki je? Kuku ni ndege au mnyama? Mayai je? Maziwa fresh yako kundi gani?

Uko sawa, matunda maji na mboga mboga hata manyama uzembe yanakimbia yenyewe....

Siku zote vitu vitamu vina madhara.
Manyama uzembe dalili za uzee
 
Dagaa ziko kundi gani? Samaki je? Kuku ni ndege au mnyama? Mayai je? Maziwa fresh yako kundi gani?

Uko sawa, matunda maji na mboga mboga hata manyama uzembe yanakimbia yenyewe....

Siku zote vitu vitamu vina madhara.
Vitu vitamu vina madhara, heri sinywi soda napiga zangu konyagi. Ila asali nayo inanichanganya
 
  • Thanks
Reactions: etb
NACHUKIA SNA KUCHINJA MNYAMA KISA NYAMA YAKE IWE MSOSI KWAKO.NAONA KM UKATILI MKUBWA.nina tabia yakutokula nyama km nikiona mnyama anachnjwa mbele yangu.mungu anisaidie kuacha kula nyama
 
Spiritually na mimi pia huona ukatili uliopo kwenye process nzima ya kuchinja,kuchuna hadi kula nyama ya mnyama yeyote! Sidhani kama ni. Halali kwetu kutoa uhai wa mnyama mwenzetu ili tu kukidhi tamaa zetu za kimwili!
 
Niko Fyatanga hapa inavyonukia ukweli siwezi acha!Miaka ya nyuma nilifanikiwa kuacha kwa muda ila sasa...tumbo niachie...

Halafuuu kingine nimegundua haya magonjwa yanayosemekana kusababishwa na nyama yanaendena na location,hivi ushawahi kujiuliza kwa nini kwenye fomu ya hospitali wanajaza eneo ulilotoka....?!ukitokea masaki,mbezi,sinza ...nk...doctor utasikia ''acha nyama wewe utakufa!..manzese,mbagala, nk....utasikia....kula nyama wewe utakufaa!!mwili wako una upungufu wa protini.......
Anyway hata hivyo hii ni mbinu nzuri ya kuwajibu watoto utakapoanza kuwalisha majani kama mbuzi vyuma vikikaza....
 
Back
Top Bottom