Hatari: Nimeacha kutumia Nyama

Hatari: Nimeacha kutumia Nyama

Unaacha kula nyama unakula mahindi yaliokuzwa kwa madawa ya viwandan, ukiambiwa unashda kichwan usiwe mkal
 
Nyama ya fyatanga ni irresistible acha tufe tu kwanza hatutaishi milele.
Niko Fyatanga hapa inavyonukia ukweli siwezi acha!Miaka ya nyuma nilifanikiwa kuacha kwa muda ila sasa...tumbo niachie...

Halafuuu kingine nimegundua haya magonjwa yanayosemekana kusababishwa na nyama yanaendena na location,hivi ushawahi kujiuliza kwa nini kwenye fomu ya hospitali wanajaza eneo ulilotoka....?!ukitokea masaki,mbezi,sinza ...nk...doctor utasikia ''acha nyama wewe utakufa!..manzese,mbagala, nk....utasikia....kula nyama wewe utakufaa!!mwili wako una upungufu wa protini.......
Anyway hata hivyo hii ni mbinu nzuri ya kuwajibu watoto utakapoanza kuwalisha majani kama mbuzi vyuma vikikaza....
 
Usipokula nyama hufi????? Je life span ya msiokula nyama ni miaka mingapi?
Yakufaidi nini unapokufa na maini mazima? Kongosho zima?

Huoni usipotumia vitu mbalimvali ini linalemaa? Halina kazi yani sawa na demu àfe na bikra ni upuuzi...
Mwishoe utasema tusinywe na pombe...
Law of use and dis use, ahsante
 
Spiritually na mimi pia huona ukatili uliopo kwenye process nzima ya kuchinja,kuchuna hadi kula nyama ya mnyama yeyote! Sidhani kama ni. Halali kwetu kutoa uhai wa mnyama mwenzetu ili tu kukidhi tamaa zetu za kimwili!
Mkuu hivi kilimo cha mboga na matunda hakuna ukatili??
Fikiria watu wanafyeka misitu ili kupata sehemu ya kulima. Viumbe wengi wanakimbia na baadhi ya mimea ya asili (tunaita magugu) tunaiua ili tule.
Jee huu sio ukatili???
Au ukatili ni pale tuu tunapoona damu inamwagika???
 
Una umri gani weye? Tumekula nyama miaka kibao na hatujapata hata mafua ya ndege weye kwa kukosa uwezo wa kupata nyama unaleta riwaya humu?? Acha mtu akule ile kitu loho inatamani. Nitazila hadi kaburini. Wewe enendelea kula majani ka ng'ombe tuache tule nyam ya ng'ombe bora iwe imechinjwaa.
Atakuwa msabato huyu ndugu! Asituchoshe na itikadi zake
 
Back
Top Bottom