Hatari: Nimeacha kutumia Nyama

Hatari: Nimeacha kutumia Nyama

Recommended Daily Allowance ya protein kwa siku inayohitajika kwa matumizi mwilini kwa mtu mzima ni 30grams per day, yaani sawa sawa na uzito wa sarafu tatu za shilingi 10
Jenga hoja zako bila kuwa biased mkuu.
Protein intake inategemea vitu kama activity level, age, muscle mass, physique goals and current state of health.
So hiyo 30grams unayosema sio sahihi.
 
Usipokula nyama hufi????? Je life span ya msiokula nyama ni miaka mingapi?
Yakufaidi nini unapokufa na maini mazima? Kongosho zima?

Huoni usipotumia vitu mbalimvali ini linalemaa? Halina kazi yani sawa na demu àfe na bikra ni upuuzi...
Mwishoe utasema tusinywe na pombe...
 
Dagaa ziko kundi gani? Samaki je? Kuku ni ndege au mnyama? Mayai je? Maziwa fresh yako kundi gani?

Uko sawa, matunda maji na mboga mboga hata manyama uzembe yanakimbia yenyewe....

Siku zote vitu vitamu vina madhara.
Kama papuchi
 
Ila mazee kitimoto ni balaa aisee,ngoja nipitie hapo kwa Mangi nikapige kitu cha kmoto+mbogamboga+ndizi 3+kachumbari na Castle lager bariiiiiiiiidi.

Aisee maisha ni haya haya.
 
Vitu vitamu vina madhara, heri sinywi soda napiga zangu konyagi. Ila asali nayo inanichanganya

Vina madhara haswa, na vile ambayo Mungu alitupia utamu huko umeacha kutumia aka VaaJay!!??
 
Unaacha kula nyama unakula mboga za majani zinazomwagiliwa na maji taka na chemicals za viwandani unaongeza kiwango cha free radical mwilini unapata stroke UNAKUFA.
 
Mkuu upo vizur...kiukwel nyama ni pasua kichwa sana....inachukua mpak siku nne nyama kusagika tumboni..na hyo ni hatar sana, kupata vitambi, unene kupita kias, choo ngumu yenye mapingili na magonjwa ya kansa....nenda ocean road hospital nyama inaplay 70% ya victim wa kansa....Tatizo nyama ni tamu na ndio msosi wa stareh kwa nchi zet....Mungu tuepushe na hli balaa
mkuu napenda kukupa elimu nyepesi ama nikurudishe shule ya msingi ukasome vizuri wanga mwilii unafanya nini, Protein hainenepeshi ila wanga maana wanga ukifika mwilini unabadilishwa kuwa mafuta ambayo huifadhiwa mwilini na kuja kutumika baadae pindi mwili unapohitaji na ndo maana wengi walao vyakula vya sukari na wanga kupindukia ndo huongoza kwa unene na uzito ulopindukia
 
Back
Top Bottom