Hatari na hasara za kuishi Dar es Salaam

Hatari na hasara za kuishi Dar es Salaam

Ni sehemu pekee TZ waweza kuishi zaidi ya kipato chako...
Ni sehemu pekee tena TZ waweza kukaa chini ya mti, nje ya mafremu ya biashara na kuvuta sigara, kunywa maji na hata kula milo 2 bila kufanya kazi yoyote ila ukafaidi kwa kutumia kauli yako..
Mishe mishe ziko nyingi mno labda usitumie akili yako vyema...
Shikamoo siyo lazima hata kwa kijana uliyemzidi umri sana sana au mzee aliyekuzidi umri!
Kupeana salamu siyo shuruti ila hakikisha hutawaomba msaada hao wadau...
Utalala njaa kwa kujitakia, waweza menya viazi vya chipsi, fanya usafi, okota chupa, osha magari/pikipiki, Bajaj, malori, daladala, beba vitu na mkokoteni nk nk nk
Kuwa smart ni sababu ya kwanza usilale njaa, pili usichaguwe kazi, tatu fanya kwa nguvu, ufanisi na maarifa, mwisho jitahidi uwe CHAWA!
 
Ni sehemu pekee TZ waweza kuishi zaidi ya kipato chako...
Ni sehemu pekee tena TZ waweza kukaa chini ya mti, nje ya mafremu ya biashara na kuvuta sigara, kunywa maji na hata kula milo 2 bila kufanya kazi yoyote ila ukafaidi kwa kutumia kauli yako..
Mishe mishe ziko nyingi mno labda usitumie akili yako vyema...
Shikamoo siyo lazima hata kwa kijana uliyemzidi umri sana sana au mzee aliyekuzidi umri!
Kupeana salamu siyo shuruti ila hakikisha hutawaomba msaada hao wadau...
Utalala njaa kwa kujitakia, waweza menya viazi vya chipsi, fanya usafi, okota chupa, osha magari/pikipiki, Bajaj, malori, daladala, beba vitu na mkokoteni nk nk nk
Kuwa smart ni sababu ya kwanza usilale njaa, pili usichaguwe kazi, tatu fanya kwa nguvu, ufanisi na maarifa, mwisho jitahidi uwe CHAWA!
Hiyo CHAWA umepigaje hapo?
 
Dar ni jiji la pilika nyingi kwa watu wa rika zote. Kumuamini mtu usiemjua hata kwa uchache dasalama ni kosa kubwa sana linaloweza kukugharimu maisha yako yote. Kwenye hili nna kisa kimoja kilitaka nitokea sema mr machale nikashtuka.

Dasalama kusimamishwa na mtu kavaa vizuri kukuzidi alafu anakuomba jero ya nauli ni kitu ya kawaida.
😅😅😅sema hilo jiji lina wazinzi wa kuzoa
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom