Pilitoni
JF-Expert Member
- Jul 11, 2011
- 1,201
- 515
Mimi ni kijana mwenye umri wa miaka 26, naishi Dodoma.
Mwaka mmoja sasa nimekuwa na uhusiano wa kimapenzi na Msichana hapa Dodoma hakuwa na tatizo na kutotahiriwa. kwangu lakini ni wiki moja sasa amegoma kabisa kunipa,amedai nikatahiriwe kwanza ndio nije kula mzigo.
Mimi siwezi sababu mila za kwetu zinakataza. Kichwa kinauma na hapa nimechanganyikiwa najiuliza huyu akinikimbia nitapata wapi mwingine anayeweza kukubaliana na hali yangu,naomba.
Msaada wa mawazo jamani.
Mwaka mmoja sasa nimekuwa na uhusiano wa kimapenzi na Msichana hapa Dodoma hakuwa na tatizo na kutotahiriwa. kwangu lakini ni wiki moja sasa amegoma kabisa kunipa,amedai nikatahiriwe kwanza ndio nije kula mzigo.
Mimi siwezi sababu mila za kwetu zinakataza. Kichwa kinauma na hapa nimechanganyikiwa najiuliza huyu akinikimbia nitapata wapi mwingine anayeweza kukubaliana na hali yangu,naomba.
Msaada wa mawazo jamani.