feysher
JF-Expert Member
- Sep 6, 2016
- 2,656
- 2,774
- Thread starter
- #41
Jf bwana -- baadhi ya watu ni waongo mpaka wana jisahau ....
Mtoa mada juzi tu ' ulianzisha topic na kwenye statement ulidai kwamba haupo kwenye mahusiano na hauhitaji kuwa kwenye mahusiano kwa sasa umeamua kupumzika mpaka baadhi ya mambo yako utakapo kuwa umeyaweka sawa ....
Leo unaleta thread --kumbe una bwana ambaye mmezoeana mpaka mavu.... mnanyoana !!!!!!
Si kila unachosoma ni reality boo and usichukulie kila kitu serious utapata shida i only choose to share wat i want u to know,muongo anaesahau alipodanganya si muongo anajaribu kudanganya huyo




