BADILI TABIA
JF-Expert Member
- Jun 13, 2011
- 32,772
- 23,160
Kama kuna housegirl hanza kumgusa housegirl ili kuvunja mzizi wa fitina.
Jamani BADILI TABIA umejificha wapi?
nipo mkuu,
nimeona unamwambia amsugue hg, nikaogopa loh.....
Kama kuna housegirl hanza kumgusa housegirl ili kuvunja mzizi wa fitina.
Jamani BADILI TABIA umejificha wapi?
Ushauri wa humu JF usipouchuja unaweza kujikuta unaacha mke. Si kila mara mke anapokuwa hajisikii kufanya ngono manake ana mtu mwingine. Kuna wakati hisia huwa zinakuwa hazipo. Hasa kama ana kitu ambacho ana interest nacho au kimemboa. Acheni kumpotosha mwenzenu.huyo amekwisha pata ki serenget boy, bila shaka alikuona wewe spidi yako ni ya bata kitandani, akaamua achukue mwenye spidi ya mwewe
Ushauri wa humu JF usipouchuja unaweza kujikuta unaacha mke. Si kila mara mke anapokuwa hajisikii kufanya ngono manake ana mtu mwingine. Kuna wakati hisia huwa zinakuwa hazipo. Hasa kama ana kitu ambacho ana interest nacho au kimemboa. Acheni kumpotosha mwenzenu.
Haha, si ndo hapo, anataka tu kuwatia pressure wenzie ilihali ikiangukia kwake kinakuwa kitu kingine kabisa.Halafu yeye mwenyewe mtoa ushauri inapokuja kwenye actions hata hawezi fanya hayo anashauri....
pole,anza kujifunza mbinu mpya,angalia porn jinsi ya kwenda rough lol na kuongea dirty language,simply amekuchoka na kutokosa ubunifu wako,lol inawezekana unaenda moja kwa moja kny sex hivyo kumfanya ajifeel ni sex machine sie wanawake ni watu wa hisia jifanye unamhurumia kwa kazi anazofanya nyumbani kwa kumsaidia hata kusafisha kijiko,ukitoka muage kwa mabusu moto moto,kama unaendesha siku moja sio mbaya kumpitia kazini...ilimradi afeel unamjali na sio uko after sex only,ukicheza na hisia zetu vizuri mbona uroda tunatoa hado tigo....:eek2::eek2::A S-baby::israel:
pole,anza kujifunza mbinu mpya,angalia porn jinsi ya kwenda rough lol na kuongea dirty language,simply amekuchoka na kutokosa ubunifu wako,lol inawezekana unaenda moja kwa moja kny sex hivyo kumfanya ajifeel ni sex machine sie wanawake ni watu wa hisia jifanye unamhurumia kwa kazi anazofanya nyumbani kwa kumsaidia hata kusafisha kijiko,ukitoka muage kwa mabusu moto moto,kama unaendesha siku moja sio mbaya kumpitia kazini...ilimradi afeel unamjali na sio uko after sex only,ukicheza na hisia zetu vizuri mbona uroda tunatoa hadi tigo....:eek2::eek2::A S-baby::israel:
Weye Jestina weye!!! Tobaaa...taratibu banaaa :eek2:
utakuwa mtu wa pwani weye,naskia wale wasisikie mtu kajamba basi washaniniii....:eek2::loco:
mie na Pwani mbali mbali kabisa..hii shughuli wala siifagilii
haya basi,am sorry....:eek2:
Jamani, nina masikitiko m akubwa sana ndani ya moyo wangu.
Huu sasa ni zaidi ya mwezi wa nne, mama watoto amekuwa akinipa kwa masharti magumu sana kile chakula cha usiku.
Kisingizio chake kikubwa eti anaangalia tamthilia za STV1 za kwenye king'amuzi cha Star Times.
nimejaribu kumuelewesha, alicho nijibu nimekoma mwenyewe, eti mi ni mroho sana wa k.
Nifanyeje? Naombeni ushauri wenu , naamini nyie ni kisima cha busara.
Basi ukisikia watu wanasema Nyumba ndogo.. Nyumba ndogo.. Moja Kati ya vyanzo vyake ni mambo Kama hayo ..
Hapo pagumu sana rafiki, Mtu Kama huyo hata ukimwitia ushauri wa bunge zima sidhani Kama itasaidia manake ni tabia yake..
Na wewe ( kwanini ulimnanihii kabla ya kufunga ndoa ??!!!) matokeo yake ndio hayo
Huyo atakuwa na matatizo ya kisaikolojia au kifiziolojia!Hataki nimguse, eti anaangalia mpira sijui UEFA sijui Premium!
Huyo atakuwa na matatizo ya kisaikolojia au kifiziolojia!
No ana matatizo ya kispotiolojia tu! LOL
well saidna wee angalia naye tamthilia.