KING DUBU
JF-Expert Member
- Mar 7, 2017
- 919
- 1,239
Hata ukikata damu yangu ni lowassa tupu so Wanangu wa ukawa vidole viwili juu! ROMA MKATOLIKI kijana wa Simba. Miongoni mwa wasanii wachache wenye chembe ndogo ya unafiki, ama hana unafiki katika siasa anaamini katika mageuzi ya Kweli.
Kwa upeo wangu mdogo Namuunga mkono nikiamini kuwa kamwe Tanzania hatuwezi kuwa na Maendeleo yenye tija kwa wananchi kwa kukuiamini ccm. With a lot of reasons ni wazi kuwa ccm ni uozo.
Kwa upeo wangu mdogo Namuunga mkono nikiamini kuwa kamwe Tanzania hatuwezi kuwa na Maendeleo yenye tija kwa wananchi kwa kukuiamini ccm. With a lot of reasons ni wazi kuwa ccm ni uozo.