Kama nini dear?? ...mwenzio bado kidogo nitaje kiwanja!!!:glasses-nerdy::glasses-nerdy:
'Hi sweety whats up!!!!!!! wanted to buy you somethin but was afraid if ya wud like it???????...what should i buy you??.............message ndio imesema hivyo,..............nimeshindwa kujua nataka aninunulie nini?.................wadada ni nini mngependa mkaka akununulie.....???wakaka nitawauliza next time!:brick:ainkiller:
Bado niko kny mchakato,ulitaka kuwa mgombea nini Zipu?:teeth::hungry::hungry::hungry::redfaces:
Thanks......ningependa zawadi ninayotaja imu-exite na yeye kununua....i mean i sound kimahaba pia,ila ndio nimekosa nimeshindwa kujua nimwambie aninulie nini?............nisaidie plzzzzzz:embarrassed:
Ndio nini??tufafanulie....mie nakaa huku mpwapwa!:embarrassed:
Thanks kwa kunipa mawazo lol,...ningependa ice cream ila na hizi foleni zetu mpk afike si itakuwa imeyeyuka yote hahaha:redfaces:
chupi na bra.....tena pea zaidi ya moja! It will excite him akikuona umezivaa
haahahahahahahahahaah nipe nikupe style or win to win situationWe pokea tu lakini uwe tayari kumpa akiomba gemu huko mbeleni si unajua mkono mtupu haulambwi
atazionaje bana, sio mkewe.
kakwambai sio mkewe? Mbona meseji inasema sweety? Halafu kama siyo mkewe hiyo ndiyo chance ya kumchakachua sasa, there is no free lunch in this world!
Mwambie akununulie kitam tam cha mboga
mwambie akununulie biblia.