JOYCE PAUL
JF-Expert Member
- Jan 8, 2010
- 1,005
- 82
stori ya kitu hii ni njaa kwa hiyo unampa mtoto anashiba analala kwa kulewajamani, mwenzenu nilienda kuhesabiwa, na ushahidi ndo huu!View attachment 19647
karibuni...
stori ya kitu hii ni njaa kwa hiyo unampa mtoto anashiba analala kwa kulewajamani, mwenzenu nilienda kuhesabiwa, na ushahidi ndo huu!View attachment 19647
karibuni...
Chibuku nayo imevamia Moshi? Sasa hamuoni kama mnaua utalii wa ndani?
Kitochi kinahusiana na gongo sio mbege!Nasikia hicho kikombe mnakiita ''' kitoochi '''
kabisa mangi, siibiwi wala nn??!
Wewee,wacha jeuri yako,hlo bohora linaitwa album na mdogo wake ndo huitwa kitochi,ila imepanda bei hakyamungu albamu sa hv mia nane c bora ninywe dadii arifu!hasara hii n mama manka hajapata hata unga wa ukariKitochi kinahusiana na gongo sio mbege!
enda na efo na ewe kwawango mbege etu mmbari uku kufumie kishumundu ndii kwechi wari na mbege ewe munama wiki iya icha nchenda nndeni alafu ngishuke mwiri uwicha ngiina wari deni laure kucha wome na wakekuhiyo kitu ni mbege.
Tumeamini,ila kingekuwa kitu cha kata ingekuwa poa niaje...............................hayo mabohora yamekuja cku hziJamani, mwenzenu nilienda kuhesabiwa, na ushahidi ndo huu!View attachment 19647
KARIBUNI...