Katikomile
JF-Expert Member
- Jul 12, 2007
- 471
- 74
- Thread starter
- #21
Basi naona wewe ndio kilaza kweli kweli.
Hizo lebel ni kwa ajili ya kuku -convience kuwa imetoka wapi. Baada ya kufanya uamuzi wa kununa unatakiwa uibandue maana imewekwa temporary tu. Ukiendelea kuivaa unaonekana mshambaaa lakini kwa wajuoao tu sio kama wewe.
You said it mkuu, ndio maana inakuwa kama imeegeshwa tu! na ukiiacha kwa muda huwa inaachia upande mmoja hadi inaninginia kukuonesha kwamba "I don't belong here, kindly take me away". Lakini kwa kwa wajanja kama EfraizMteman do utakuta kakomaa na uzi anairudishia.