Hata kwetu wapo...!!Shemejii iiiii

Hata kwetu wapo...!!Shemejii iiiii

hivi inakuwaje mwanaume mzima mwanamke anakuona zoba? Miaka3 unatoa pesa kwa binti? Mbaya zaidi hata dushere lako halitaki for 3yrs? Kweli wanaume tunatofautiana!!!!!!

Umeona e!
Wapo wanaume hata huwezi kuwaelezea, 3yrs...hamna dividends..??? alafu huyo unayemhonga sio kwamba katulia...ana vidumu kibao!
 
Umeona e!
Wapo wanaume hata huwezi kuwaelezea, 3yrs...hamna dividends..??? alafu huyo unayemhonga sio kwamba katulia...ana vidumu kibao!

Una uhakika Eli79 kama na vidumu kibao au unataka tufanye ligi????
 
Last edited by a moderator:
wajibu na haki Miss strong anakupa fedha mpe hiyo kitu apumzikie ,tatizo unataka vitu viwili katika suala moja
 
Kaa utafakari Miss Strong,

hao wote waliokugegeda huko nyuma uliwapenda?

Nyuma kwa maana muda uliopita au???teh teh teh...........ofcoz niliwapenda na ni wawili tu!!!!!!!
Kwanza alikuwa ndo mtoa naniii........
 
Nipo serious nkamu......mshiko ulinichanganya alafu nikawa nampiga tarehe lakin naona mwenzangu ndo anataka kuuchukua mzigo.
Simpendi sio serious
Sikiliza mdogo wangu, mchagua nazi aliata koroma, kuna wengine wnakwnda mpk kwa waganga wapete hata wa kuwasalimu tu, wewe unapata wa kukuhudumia na kukupa heshima ya mke, na ameamua kukuvumilia mpk umalize shule leo unaomba msaada jinsi ya kumuacha? ni kweli kabisa shemeji zangu huwa hawatanii anaweza akakufanya kitu mbaya.
Pls kubali kuolewa naye tena utaenjoy kwa sababu yeye ndiye amekupenda wewe, na baada ya kukaa naye kwa muda nawe pia utampenda, ila huyo unayempenda leo sidhani kama yeye anakupenda , so fikiria halafu chukua hatua.
 
Back
Top Bottom