hata kazi ya laki jmn!

hata kazi ya laki jmn!

u cant be serious ww kama hazitafutwi humu ww unafanya nn humu kwenye forum ya nafasi za kazi na tenda???haya niambie znatafutwa wapi....

Naomba kunukuu kilichoandikwa kama utangulizi wa jukwa hili "Fuatilia nafasi mbalimbali za kazi zilizotumwa na wanachama wetu. Share details, NO Hotlinking please"

Sasa kama wewe unaamini utapata kazi kupitia jukwaa la kazi na tenda hapa JF, hongera.
 
habarini jamvini!ajira imekuwa ishu sana either umesoma or huna mtu mahali...
ss basi natafuta ajira hata ya laki mbili mwenye nayo ani pm makaratasi yngu ya vyuo haina shida ntamwekea mwanangu kumbkumb....diploma holder,female straight,english inapanda,beautiful!
n;b wenye maneno ya kero mnaweza ipotezea hii post
Una fani gani?muwe mnaweka fani zenu humu ili kama kuna anayehitaji anawasiliana na wewe direct,hapa unataka kila mtu akuulize una fani gani!
 
Back
Top Bottom