hata kazi ya laki jmn!

hata kazi ya laki jmn!

ndumaely

Member
Joined
Jul 11, 2012
Posts
28
Reaction score
7
habarini jamvini!ajira imekuwa ishu sana either umesoma or huna mtu mahali...
ss basi natafuta ajira hata ya laki mbili mwenye nayo ani pm makaratasi yngu ya vyuo haina shida ntamwekea mwanangu kumbkumb....diploma holder,female straight,english inapanda,beautiful!
n;b wenye maneno ya kero mnaweza ipotezea hii post
 
habarini jamvini!ajira imekuwa ishu sana either umesoma or huna mtu mahali...
ss basi natafuta ajira hata ya laki mbili mwenye nayo ani pm makaratasi yngu ya vyuo haina shida ntamwekea mwanangu kumbkumb....diploma holder,female straight,english inapanda,beautiful!
n;b wenye maneno ya kero mnaweza ipotezea hii post
Diploma ya nini?
 
samahani mkuu iyo neema recruitment ipo wapi na mm nikajaribu bahati yangu mana ni bora elf kumi kuliko kukaa nyumbani
Halafu mkishafika huko muanze kusema '''EROLINK WANYONYAJI'''' .... Angalieni wenyewe maneno mnayoyasema kabla ya kupa...
 
Halafu mkishafika huko muanze kusema '''EROLINK WANYONYAJI'''' .... Angalieni wenyewe maneno mnayoyasema kabla ya kupa...
co wote wacokuwa na shukrani mkuu wengine tukipata tunakumbuka waliotusaidia ata iwe kidogo vp unaweza nisaidia ata kazi ya kujitolea tu ili niwe ata na experience
 
Halafu mkishafika huko muanze kusema '''EROLINK WANYONYAJI'''' .... Angalieni wenyewe maneno mnayoyasema kabla ya kupa...

Ngalikihinja kazi mbaya ukiwa nayo ila ukiwa na shida utatafuta yyte tu hiyo ni sifa ya binadam kusahau walikotoka so wasamehe bure
 
habarini jamvini!ajira imekuwa ishu sana either umesoma or huna mtu mahali...
ss basi natafuta ajira hata ya laki mbili mwenye nayo ani pm makaratasi yngu ya vyuo haina shida ntamwekea mwanangu kumbkumb....diploma holder,female straight,english inapanda,beautiful!
n;b wenye maneno ya kero mnaweza ipotezea hii post

Njoo uuze m.pesa
 
habarini jamvini!ajira imekuwa ishu sana either umesoma or huna mtu mahali...
ss basi natafuta ajira hata ya laki mbili mwenye nayo ani pm makaratasi yngu ya vyuo haina shida ntamwekea mwanangu kumbkumb....diploma holder,female straight,english inapanda,beautiful!
n;b wenye maneno ya kero mnaweza ipotezea hii post

Kazi hazitafutwi hapa JF. You are not serious.
 
Back
Top Bottom