Hata Goli la mkono la Maradona lilikuwa Goli. Simba songeni mbele

Hata Goli la mkono la Maradona lilikuwa Goli. Simba songeni mbele

Allen Kilewella

JF-Expert Member
Joined
Sep 30, 2011
Posts
25,146
Reaction score
48,382
Tarehe 22/06/1986 Diego Amando Maradona alifunga goli kwa mkono dhidi ya timu ya Uingereza.

Goli hilo alilofunga dhidi ya Kipa mahiri wa England zama hizo Peter Shilton, mpaka leo limeacha gumzo kwenye dunia ya mpira wa Miguu.

Lakini mwisho wa siku goli hilo ambalo kwa picha za marejeo lilithibitika kuwa ni la mkono, limeendelea kuhesabiwa na kufanya mechi iishe kwa matokeo ya 2-1.

Simba eleweni kuwa kama goli likishahesabiwa na Refa ni goli na likikataliwa na Refa basi linakuwa siyo goli.

Makelele ya wengine achaneni nayo nyie songeni mbele!
 
IMG-20250502-WA0015.jpg
 
  • Kicheko
Reactions: Tsh
Tarehe 22/06/1986 Diego Amando Maradona alifunga goli kwa mkono dhidi ya timu ya Uingereza.

Goli hilo alilofunga dhidi ya Kipa mahiri wa England zama hizo Peter Shilton, mpaka leo limeacha gumzo kwenye dunia ya mpira wa Miguu.

Lakini mwisho wa siku goli hilo ambalo kwa picha za marejeo lilithibitika kuwa ni la mkono, limeendelea kuhesabiwa na kufanya mechi iishe kwa matokeo ya 2-1.

Simba eleweni kuwa kama goli likishahesabiwa na Refa ni goli na likikataliwa na Refa basi linakuwa siyo goli.

Makelele ya wengine achaneni nayo nyie songeni mbele!
Mambo ya figisu kama haya yakifanywa na yanga kelele za GSM kuharibu ligi Zina vuma,ila figisu zikifanywa na kolo utasikia ubaya ubwela na mijitu mingine kama huyu eti songeni mbele.
 
Back
Top Bottom