SONGOKA
JF-Expert Member
- Mar 8, 2012
- 1,843
- 1,841
Utangulizi.
Bado nina kadi ya CHADEMA,
Maada
Naipenda hii nchi kuliko Vyama na siasa zake, Kabla ya mifumo ya vyama Tanzania ilikua na wakazi na waliishi kwa taratibu na misingi yaliyojipangia wakati huo.
CCM wameshindwa kuwawezesha watanzania kupata hata yale mahitaji muhimu (food, cloth, and shalter), ni masikitiko makubwa sana.Wameiba kila kinachoibika na kutuachia MAPANKI. Miaka Hamsini ya utawala wao (huku wakibadili majina ya CHAMA kama ile hoteli maarufu ya jijini DAR "SERENA") Imekua ya machozi jasho na damu.ANYWAY Mungu yupo na sote tunaamini hivyo.
Tatizo langu ni CHADEMA, huu ukombozi tunaohubiri tena tukimuingiza muumba "TUMEANZA NA MUNGU, TUTAMALIZA NA MUNGU" unamashaka makubwa sana.Leo kama IKIRUHUSIWA TAASISI ZA DINI KUSIMAMISHA WAGOMBEA kisiasa Kanisa Katoliki litaibuka mshindi bila shaka. Wamejenga MASHULE, HOSPITALI, VYUO VIKUU, VYUO VYA UFUNDI, HOSTELI, tena vijijini kwa wale waliosahaulika na kadhalika. Simaanishi taasisi nyingine hazijatoa huduma hizi la! ila kanisa hili linaongoza toka enzi hizo.
Kinachonitoa JASHO ni jinsi gani niitofautishe CHADEMA na CCM, Kwani maneno wanayoyatumia sasa hata MAFISADI wa CCM huyatumia wanapoomba kura.Je hizi lugha tamu tamu za ukombozi ntajuaje kua hazitageuka kuwa shubili kama sioni mifano thabiti sasa. Kila kukicha Chadema tunachangishana eti kughalimia uendeshaji wa chama (KWELI!!!!). Kama nia ni ukombozi kwa nini tusianze sasa kutumia michango na ruzuku kujenga hata dispensary vijijini, kununua madawati, kulipia karo watoto wa maskini, kuamasisha watu kujitolea kujenga miundombinu vijijini na nk..
Hatuwezi kujitofautisha na CCM kwa sela za midomoni na kwenye vitabu tu..Tuanze utekelezaji kwa kile kidogo tulichonacho KAMA TAASISI ZA KIDINI ZIFANYAVYO VILE...Kama tunaweza kuhamasisha watu kuunga mkono maandamano yetu (ambayo yana tija pia) tuhamasishe pia wakusanyike na kufyatua matofali ili kujenga dispensary vijijini..Mambo ya HELKOPTA ni anasa kubwa sana kwa mkurya wa kibhancha bhancha, au msukuma wa SAYUSAYU. tunahubili ukombozi wa maskini kwa display ya anasa..Kuna ulazima gani kutumia helkopta katika mikutano ya kawaida kabisa??
Ni muda wa kujitofautisha na CCM kwa Vitendo na si maneno na sela, la sivyo itakuwa ni POROJO tu za kutaka madaraka then BUSINESS AS USUAL. (Mungu kakupa akili na maarifa bure, kuvitumia ni hiari yako)
Hitimisho
Sijahama chama.
Bado nina kadi ya CHADEMA,
Maada
Naipenda hii nchi kuliko Vyama na siasa zake, Kabla ya mifumo ya vyama Tanzania ilikua na wakazi na waliishi kwa taratibu na misingi yaliyojipangia wakati huo.
CCM wameshindwa kuwawezesha watanzania kupata hata yale mahitaji muhimu (food, cloth, and shalter), ni masikitiko makubwa sana.Wameiba kila kinachoibika na kutuachia MAPANKI. Miaka Hamsini ya utawala wao (huku wakibadili majina ya CHAMA kama ile hoteli maarufu ya jijini DAR "SERENA") Imekua ya machozi jasho na damu.ANYWAY Mungu yupo na sote tunaamini hivyo.
Tatizo langu ni CHADEMA, huu ukombozi tunaohubiri tena tukimuingiza muumba "TUMEANZA NA MUNGU, TUTAMALIZA NA MUNGU" unamashaka makubwa sana.Leo kama IKIRUHUSIWA TAASISI ZA DINI KUSIMAMISHA WAGOMBEA kisiasa Kanisa Katoliki litaibuka mshindi bila shaka. Wamejenga MASHULE, HOSPITALI, VYUO VIKUU, VYUO VYA UFUNDI, HOSTELI, tena vijijini kwa wale waliosahaulika na kadhalika. Simaanishi taasisi nyingine hazijatoa huduma hizi la! ila kanisa hili linaongoza toka enzi hizo.
Kinachonitoa JASHO ni jinsi gani niitofautishe CHADEMA na CCM, Kwani maneno wanayoyatumia sasa hata MAFISADI wa CCM huyatumia wanapoomba kura.Je hizi lugha tamu tamu za ukombozi ntajuaje kua hazitageuka kuwa shubili kama sioni mifano thabiti sasa. Kila kukicha Chadema tunachangishana eti kughalimia uendeshaji wa chama (KWELI!!!!). Kama nia ni ukombozi kwa nini tusianze sasa kutumia michango na ruzuku kujenga hata dispensary vijijini, kununua madawati, kulipia karo watoto wa maskini, kuamasisha watu kujitolea kujenga miundombinu vijijini na nk..
Hatuwezi kujitofautisha na CCM kwa sela za midomoni na kwenye vitabu tu..Tuanze utekelezaji kwa kile kidogo tulichonacho KAMA TAASISI ZA KIDINI ZIFANYAVYO VILE...Kama tunaweza kuhamasisha watu kuunga mkono maandamano yetu (ambayo yana tija pia) tuhamasishe pia wakusanyike na kufyatua matofali ili kujenga dispensary vijijini..Mambo ya HELKOPTA ni anasa kubwa sana kwa mkurya wa kibhancha bhancha, au msukuma wa SAYUSAYU. tunahubili ukombozi wa maskini kwa display ya anasa..Kuna ulazima gani kutumia helkopta katika mikutano ya kawaida kabisa??
Ni muda wa kujitofautisha na CCM kwa Vitendo na si maneno na sela, la sivyo itakuwa ni POROJO tu za kutaka madaraka then BUSINESS AS USUAL. (Mungu kakupa akili na maarifa bure, kuvitumia ni hiari yako)
Hitimisho
Sijahama chama.