multmandalin
JF-Expert Member
- Sep 8, 2012
- 2,034
- 583
Watu wa maGAMBA acheni kuweweseka! cdm itawang'a2 mliwanunua cuf na Vyama vingine mlidhani na cdm mtainunua! Mwenyekiti wenu kawaambia mjiandae kisaikolojia kwa serikali 3 yy mwenyewe katumia saikolojia hiyo kuwaambia mjiandae kisaiklolojia kuwa chama chaupinzani!
CHADEMA bana kama MUNGU na malaika zake kila kukicha (utamu unakuja, utamu unakata x6)