Hata baada ya miaka miwili, umiss upigwe marufuku

Hata baada ya miaka miwili, umiss upigwe marufuku

Masangutu

JF-Expert Member
Joined
Jul 26, 2012
Posts
814
Reaction score
647
Habari wanaJF,

Sioni mantiki ya mashindano ya umiss (ulimbwende) zaidi ya kumdhalilisha mwanamke, ni vyema wahusika wabuni mbinu zingine za kumuinua mwanamke kiuchumi badala ya kumdhalilisha kwa kumtembeza utupu mbele ya baba, mama, kaka na jamii kwa kisingizio cha kumpatia ajira zaidi ya kunufaisha makampuni ya vilevi.

Rai Yangu, kama umiss ni jambo jema, paanzishwe "miss wabunge" tuone kama watakuwa tayari kuonyesha kufuli zao na maumbo ya nyeti zao.

Ni mtazamo tu..

 
Ufutwe tu. Sioni hata wanachoshindania zaidi ya kutembea uchi na kujidhalilisha tu.
 
umiss ni mpango wa kishetani ambao umebuniwa kumdhalisha mwanamke kuonyesha nyeti ili baadaye auzwe kwa bei ya juu kwa mataikun
 
umiss ni mpango wa kishetani ambao umebuniwa kumdhalisha mwanamke kuonyesha nyeti ili baadaye auzwe kwa bei ya juu kwa mataikun

Tatizo wanawake nao hawalioni hilo sijui nani aliye waloga
 
Mungu atusaidie na kutusamehe wanadam, wanawake nao wajitambue jamani, tuwaombee sana wanawake.
 
mbunye uonwa wakati wa kuzaa na wakati wa kutumiwa alhumbiwa si kwa kika mtu kujua raman yako
 
uwepo lakini wavae madera/tente
 
Itachukua miaka sana wanawake kutambua haya, wanatumika miili yao hadi kwenye public
 
Hakuna kinachoshindikana, ufutwe tu, marehemu mzee Karume wa Zanzibar haikuruhusu kabisa mashindano hayo visiwani .
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom