Ukishakuwa mlinzi wa zitto lazima uwe huna akili kama boss wako.Vifo vya albino hatukuoni ukitokwa na chozi ila kwa komba umemwaga debe zima.
​
Ukisha kuwa mwanaume ukaoa na kuzaa unatakiwa kitoa machozi kwa 1. Mwanao. 2. Mkeo na wazazi wako full stop. NA SIO VINGINEVYO. Haya mambo ya kulia lia hovyo tena rais tena amiri jeshi ni upuuzi na hakivumiliki.
​
​
Kuwalilia maalibino hakuhitajiki kwasasa bali kinachohitajika ni mikakati madhubuti ya kuwaokoa hawa wenzetu, kwani wamelia wangapi na je kulia huko kulipunguza mauaji.Hata Waziri Mkuu si ameshamwaga chozi kwani kumesaidia kitu.