Hasira zinaniharibia mahusiano

Jifunze kunyamaza unapokua na hasira, zikitulia tafuta maneno positive ya kuzungumza na mpenzi wako ili muwekane sawa
 
Noted.......

Hujui tu umuhimu wa Ushauri wa huyo Mwl.... Kuuweka hapa, kutokana na matatizo ya simu zetu hizi za Tecno, bado naamini utauweka hapa kwenye comments zako zitazofata.....!

So bado nasubiri (Tunasubiri).... Then baada ya kuuweka huo ushauri hapa, ntarudi kukwambia kwa nini niliusubiri...!!
 
Hizo mbinu bintimrembo anataambiwa amcheki pm.
Sasa hivi kila sehemu ni mwendo wa kutumia fursa tu.
Wala hata sipo hivo ndugu yangu. Mm ID yangu hii ni Verified, halafu sitafuti mambo hizo jamiiForums. Kama ukipitia nyuzi zangu utajua mimi ni mtu wa namna gani.
 
Ego inakusumbua wewe
Na maringo pia

Anyway ukiendeleza hiyo tabia utakuja kustuka umechakaa sana
 

Similar Discussions

Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…