Hasira zinaniharibia mahusiano

Hasira zinaniharibia mahusiano

bintimrembo

Member
Joined
Jul 11, 2018
Posts
30
Reaction score
79
Hello,

Nafahamu kwenye wengi kuna mengi, tuachane na huu msemo. Naomba mnisaidie jinsi ya kukabiliana na hasira.

I broke up with 2 people kwasababu ya hasira, tena hasira zangu huwa ziko complex. Mfano sioni shida kumwambia mtu tuachane kisha naanza kuumia mwenyewe. Nikijaribu kurudi nakuta block kubwa yaani kufuli kubwa sana.

Nataman kuwa na mahusiano but hayadumu kwasababu ya hasira. Nisaidieni nipone.
 
jaribu kupunguza hasira dadaangu wengne hawabipiwi ukibeep yy anapiga kama hvo unamwambia mtu tuacane kumbe na yy aahapagawa anakupga na bloku juu
 
Hello love, nafahamu kwenye wengi kuna mengi, tuachane na huu msemo, naomba mnisaidie jaman jinsi ya kukabiliana na hasira, i broke up with 2 relatioship kwasababu ya hasira, tena hasira zangu huwa ziko complex mfano sion shida kumwambia mtu tuachane zen naanza kuumia mwenyewe, nikijaribu kurud nakuta block kubwa yaan kufuli la kubwa sana, nataman kuwa na mahusiano but hayadumu kwasababu ya hasira, nisaidien nipone
Madongo nimezoea na ww pia unakaribishwa
Jifanye mjinga uinjoi maisha mdogo wangu!
Jitahidi pia U behave kike
 
Mtego wa TEMBO kunasa SUNGURA sio jambo rahisi

Hiyo comment hapo juu sio kwa ajili ya uzi HUU ni makosa ya kimtandao tu
 
Hili jibu tu tayari limenionyesha kwamba wewe ni mwanamke wa aina gani, and mwisho wa siku utakuja kuanza ku behave kike ukiwa tayari umesha choka na ushakulwa sana na mijamaa hata kufikia kuuroboa toboa moyo wako na usipate kupona majeraha tena.
Utaniuwa jaman kwa maneno haya, i promise nitabadilika kwa matendo na utakuja kwa harus yangu
 
Huwa napenda aman nikiona hatuko vizur huwa nahis nimechokwa zen najikuta nimesema ivi
Kama wapenda amani kwa nini usianze kuchunguza hiyo mifarakano inatokana na nini maana sine ukawa unawalaumu wanaume kumbe tatizo lipo kwako
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom