sanalii
JF-Expert Member
- Oct 1, 2018
- 1,432
- 5,081
Yani akigombana na mume wake au mpenzi wake anaona nyia ya kumaliza hasira ni kutembea na mwanaume mwingine, yani usipikua na huruma unaweza pata lawama, imagine mtu anakwambia anakuja kukusalimia geto analeta swaga za mapenzi, then baadae ndo unakuja kujua kumbe aligombana na mtu wake au mume wake kabisa.