Hasira za nini Mhe. Jakaya Mrisho Kikwete?

Hasira za nini Mhe. Jakaya Mrisho Kikwete?

Hahahah! Ni rahisi kutenganisha tuwi la Nazi na Maziwa kuliko kutenganisha Lowassa na Rushwa

Idadi ya Watanzania wenye akili finyu kama zako itapungua endapo tu Lowassa atapata ridhaa yangu na kuingia ikulu kisha atekeleze vipaumbele vyake vitatu vya kwanza.

Nasema hivi kwa sababu, miaka na miaka CCM na serikali yake imekuwa ikikueleza kuwa Lowassa si fisadi, leo hii all of a sudden unaambiwa ni fisadi unakurupuka kama juha, umeangalia other factors?
 
Idadi ya Watanzania wenye akili finyu kama zako itapungua endapo tu Lowassa atapata ridhaa yangu na kuingia ikulu kisha atekeleze vipaumbele vyake vitatu vya kwanza.

Nasema hivi kwa sababu, miaka na miaka CCM na serikali yake imekuwa ikikueleza kuwa Lowassa si fisadi, leo hii all of a sudden unaambiwa ni fisadi unakurupuka kama juha, umeangalia other factors?

Mie Ufisadi wa Lowassa nimekuwa nikielezwa na Chadema tangu 2007 na pia kusisitizwa kupitia Magazeti ya Chadema likiwemo Mwanahalisi na Mawio. CCM imeingiaje? au CCM na Chadema wame "swap" majina ya Vyama?
 
Mwizi siku zote hapendi mlinzi na yuko tayari hata kumuua kutimiza malengo yake.. Tafakari.
 
Back
Top Bottom